dopchinski
JF-Expert Member
- Mar 11, 2021
- 3,387
- 3,683
Outering Rd is loading.............Mbingu na ardhiView attachment 2359644
Outering Rd is loading.............Mbingu na ardhiView attachment 2359644
Sawa boss.🤣🤣🤣Wacha kuongoa uongo we falamanga, how many km of dual carriage ways do you guys have .? Tuanzie hapo kwanza ... DAR ni Zaid ya Nairobi likija suala la dual carriage ways..
Render?[emoji16][emoji16]Outering Rd is loading.............View attachment 2359667
Hospitali,Shule,masoko ya kisasa,machinjio, barabara,nyumba za kisasa,maji safi na salama,umeme, nk
na misafara ya magari 100?Hospitali,Shule,masoko ya kisasa,machinjio, barabara,nyumba za kisasa,maji safi na salama,umeme, nk
Ndio kazi za kodi...tulipe kodi
Huyo achana naye. Kupingana naye ni kuharibu wakati. 🤣Unakichaa wewe. Dar enyewe hata imeshindwa na Kisumu when it comes to daul carriageway.
Estim wanaweza hata kujenga barabara za mwendokasi wakiaminiwa kuliko hawa sinohydro . Halafu itasaidia kuongeza mzunguko wa fedha maana kiasi kikubwa kitabaki hapa hapa Tanzania
Hizo anasana misafara ya magari 100?
Kwani kuabudu kuna kosa gani. Lazima tumtangulize Mungu kwa kila jamboMke wa Ruto ageuza Ikulu madhabahu binafsi ya Dini..😁😁😁😁
Karibu kinuke 👇
fedha za WorldBank na AfDB ni kandarasi iliyokidhi zigezo kinachotakiwa ni Estim kuwa na portfolio ya kuonyesha miradi kama hiyo waliyotekeleza! As things stand wana chance ya kuweza kushinda tender wanahitaji good lobbying!hizo hela (za kujenga BRT) zina wenyewe (nchi), na sehem kubwa zitaenda kwa wenyewe (tender kupewa kwa contractors wa hizo nchi).. sio suala la serikali kuamua tu.. nadhan umeelewa
Tukipata kampuni za kibongo kama 5 hvi kama hii izi kero za barabara zitaishaaEstim wanaweza hata kujenga barabara za mwendokasi wakiaminiwa kuliko hawa sinohydro . Halafu itasaidia kuongeza mzunguko wa fedha maana kiasi kikubwa kitabaki hapa hapa Tanzania
Mzee hata moja inaweza fanya mageuzi makubwa ndo maana Mbarawa anahimiza kila siku kampuni za ujenzi ziungane ili ziweze ku-create one giant company na kushinda tender za $300 mln and above! Ujue kila Estim construction inavyoshinda tender ndo inapanuka pia! naiona ikija kuwa na revenue ya over $1 bln in the near future! Ujue ipo nchi nyingi sasa!Tukipata kampuni za kibongo kama 5 hvi kama hii izi kero za barabara zitaishaa
Ichoboy alienda akamuachia ujinga.Huyo achana naye. Kupingana naye ni kuharibu wakati. 🤣
True 🤣 🤣 🤣Ichoboy alienda akamuachia ujinga.