Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Underway kitu gani yet umepost complete project? Umeanza excuse after kushikwa makende?
Hata hizo nyaya za umeme unazoziona kwenye nguzo, mji ukimaliza ujenzi wake zote hizo zitapitishwa chini mana miundombinu yake tayari imeshatengenezwa underground ..so Dom utakua ni mji pekee EA ambao nguzo za umeme hazitaonekana anywhere
 
Hata hizo nyaya za umeme unazoziona kwenye nguzo, mji ukimaliza ujenzi wake zote hizo zitapitishwa chini mana miundombinu yake tayari imeshatengenezwa underground ..so Dom utakua ni mji pekee EA ambao nguzo za umeme hazitaonekana anywhere
Kwani Tatu na Konza City zitakuwa miji ya binguni?
 
Hata hizo nyaya za umeme unazoziona kwenye nguzo, mji ukimaliza ujenzi wake zote hizo zitapitishwa chini mana miundombinu yake tayari imeshatengenezwa underground ..so Dom utakua ni mji pekee EA ambao nguzo za umeme hazitaonekana anywhere
Itapendeza sana nyaya zinafanya mandhari ya mji uonekane mchafu.
 
Hata huna akili, how do you expect Tanzania not to trend in Kenya yet 99% of those you are following are from Tanzania?
😂😂😂 Etie?

Screenshot_20220906-200629.png
Screenshot_20220906-200433.png
 
Huu mji unakua kwa kasi ssna,mbali na hsyo majengo ya serikali nje ya mji kunaenda vizuri sana...Nna uhakika most of these projects will be completed before 2025
Yeah sure, hata hayo majengo yenyewe mikataba yake inaisha mwakani, kwahyo mpaka ifike 2025 hata Msalato international airport itakua tayari imeshakamilika
 
Back
Top Bottom