Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Naenda zangu mimi, wacha niwaachie Bamburi Mtambo.., vs Dodoma.., 🔥🔥🔥🔥😜😜😜😜😂😂😂😂😂
Estate in Mombasa inanyonga Capital City ya Tanzania
1662477876838.png

1662477829902.png

1662477841717.png

1662477854774.png
 
mji ata kiwango cha estate bado haijafika unaanika humu? eti capital city? nyambaff, potelea mbali dogo😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂.,
Ila inataka moyo kuvumilia 🤣🤣🤣.
 
Inauma sana Don YF ona vile Dodoma inafuata nyayo za Chinese cities 🤣🤣👇.

Nenda ukanywe juice baridi ya ukwaju ya Azam kwa bill yako, umechanganyikiwa leo 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 .,
have an evening of your choice.,bye for now.
 
Nenda ukanywe juice baridi ya ukwaju ya Azam kwa bill yako, umechanganyikiwa leo 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 .,
have an evening of your choice.,bye for now.
Usikimbie mzee wakenya wanakutegemea 🤣
 
Domo domo gani na tuliwaambia mtuonyeshe industries in Dodoma mkakunja mikia?
Wato wapo live location inabudi utulie ili upate dawa ya corona,,
Nenda mwanza city center uone kama utakutana na uchafu kama huo wakenya mnazingua mlipo tupiku ni mapicha tu ya filter yasiyo na uhalisia
 
🤣🤣🤣 Kwahyo siku hiz watu wanataka kuona viwanda.? 🤣🤣 Watu wanaishi humo kwenye viwanda.?
🤣🤣🤣 Kwahyo siku hiz watu wanataka kuona viwanda.? 🤣🤣 Watu wanaishi humo kwenye viwanda.?
With these kind of reasoning I'm not surprised to see Tanzania among the least developed countries in the world.
 
Wato wapo live location inabudi utulie ili upate dawa ya corona,,
Nenda mwanza city center uone kama utakutana na uchafu kama huo wakenya mnazingua mlipo tupiku ni mapicha tu ya filter yasiyo na uhalisia
Mwanza linganisha na Kisii na sio Mombasa.
 
With these kind of reasoning I'm not surprised to see Tanzania among the least developed countries in the world.
Ukishindwa,kunyoosha mikono juu sio dhambi, usitake kutukana watu kwa kulazimisha upumbavu wako 🤣🤣 uliona wapi wakapima maendeleo ya miji kwa kuwa na viwanda.? Tena viwanda vyenyewe vitatu.? 🤣
 
Ukishindwa,kunyoosha mikono juu sio dhambi, usitake kutukana watu kwa kulazimisha upumbavu wako 🤣🤣 uliona wapi wakapima maendeleo ya miji kwa kuwa na viwanda.? Tena viwanda vyenyewe vitatu.? 🤣
Kama hujui umuhimu wa viwanda kwa Dunia ya sasa basi hakuna tofauti kati yako na soja The best 007. Nyinyi wote ni coconut head.
 
Bentley is the most popular high end luxury in Kenya.
Bongolalas tunajua huko kwenu hata mercedes which is not high end bado sio popular. 🤣🤣🤣

 
Back
Top Bottom