Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Screenshot_20220906-115631_Twitter.jpg
 
Siyo wao wameshindwa serikali haipendi kujenga vyuo huko. Kwanini chuo kikuu cha Biharamulo ambacho alikuwa ajenge Askofu Niwemugizi wa Jimbo Kuu Katoliki la Rulenge kimeshindikana kujengwa mpaka sasa hivi?

Kwanini Bugando ilipelekwa Mwanza na siyo Bukoba kama ilivyokuwa maono ya mwanzilishi?

Kwanini RUGAMBWA shule ya wasichana ya sekondari ililazimishwa iwe sekondari na siyo chuo kikuu kama ilivyokuwa imepangwa.

Chuo kikuu cha Mabila Kyerwa kwanini kimefungwa?

Tawi la Chuo kikuu cha St.Augustine Kwanini kilizuiliwa kudahili wanafunzi wa Shahada?

Bukoba University nini mbaya ilipelekea kifo chake.

Nambie ni mkoa upi wa Tanzania ambao wananchi wamejenga vyuo kwa pesa zao wenyewe bila support ya serikali?

Bonde la mto ngono kuanzia uhuru hadi leo lipo kwenye mpango mkakati wa kufanya kilimo cha umwagiliaji,sasa shida ni nini kilimo cha mpunga kisianze.

Uwanja wa ndege wa Omukajunguti ulifia wapi?

Tujadili bila ushabiki nchi yetu sote hii.
Bugando na SAUT si Vyuo vya serikali! Nyie endeleeni na misifa na kungoja hisani ya serikali! Kwani Mwanza (SAUT na Bugando), Arusha (UoA, Makumira), Iringa (TUMAINI na Ruaha), Morogoro (Jordan, SFUHS) na Muslim university), Mtwara (Stella Maris) na Moshi (KCMUCo, SMMUCo na MWECAU) wangengoja wangekuwa navyo?
 
sasa mbona hawaendelezi kwao hebu leta picha za Bukoba town?
Kumbe hupajui? Achana na story za watu njoo mpaka vijijini ndio utajua wanaowaponda Wahaya ni chuki zao binafsi hasa na wivu. Wahaya wengi wanajenga kwanza kwao ndipo wanakuja mjini.

Ni aibu kwa Muhaya kuishi maisha mazuri mjini wakati kwao kijijini hajajenga. Huwa ni fedheha itokee siku wamekuja kwao halafu wakute hakuna maendeleo wakati mjini yuko vizuri, hii ndio sababu hupenda kuzika migombani, hata kama mtu amefia mbali wanasafirisha na kuzika kwao. Nani akubali kupata aibu.
 
their is no cause for alarm here.. when u see such kinds of rankings tht places tanganyika at top5 and ahead of kenya, just know it was compiled by a tanzanian.
(hivi hakuna sekta ama takwimu tanganyika inaweza ipiku kenya)
main target is to hit on kenya, ndo tu feel
hawa watu wana jisumbua sana na sisi.. ata ndo maana wana tu gugo zaidi

View attachment 2347422
Wewe ushaambiwa una mambo ya kitoto.
 
What have you constructed when only 8,000km of roads are tarmacked? What are you constructing when only 30% of Tanzanians are connected to electricity? What are you constructing when pupils can't joint secondary schools due to lack of classrooms?
Kalilie twitter
 
Mko hovyo wacha kutetea ujinga kilaza.., people are arguing based on ideologies in developed democracies, and most parties have more or less same developmental ideologies thus support base automatically is likely to fall at 50/50.., nchi kama Rwanda might have a different case since they were coming from their darkest moment and their saviour was Paul Kagame, thus he is adored and poses a messianic kinda image to the Rwandese, thus for him garnering 90% of votes is understandable and explainable in their context, but as years go by and they move on and mature in democracy, political divide will eventually form, each having an ideology meaning well for the country and promising better, here individual citizens will weigh which they prefer, so kunakua na higher chances ya 50/50 0r 40/60 divide, Tanzania mko hovyo sana, nyie mmelishwa propaganda tokea mpate Uhuru na kukandamizwa hamuna sauti, tafadhali wacha ujinga wako, sio kila mara unatetea udhaifu wa Tanzania, huo ni upuzi. Kenya naamini wakati tulipata Uhuru, mzee Jomo Kenyatta was projected as a liberator, wakati huo uchaguzi ungeitishwa angepata 99%.., but as time moves on, watu wana erevuka, na sidhani angepata 90%.., Tanzania ni nchi ya kiaina kwa ujinga.,
Nimetoa mifano ya South Afrika na USA umekimbilia Rwanda, wewe ni chizi Sana. Kenya hakuna chama chochote chenye ideology, kila mwaka kunaibuka vyama vipya na kuunda makundi yenye mrengo wa ukabila na ukanda.

Nchi Kama South Africa, Ghana, Algeria, Angola, Sychelles, Mauritius, Tanzania, USA, China, German, Norway, Sweden, Japan, huko ndiko kwenye vyama vyenye kuimarika na vyenye ideologies zenye kueleweka.

Katika hizo nchi nilizokutajia, lazima utakuta Kuna chama kimoja au viwili tu ndio vyenye nguvu kutokana na ideologies zao, vyama hivyo ndio vinapata kura nyingi miaka yote, sio rahisi hata kidogo kuving'oa hivyo vyama kutokana na uimara wa hivyo vyama, katika nchi ambazo chama kimoja kina nguvu Sana Kama Germany, South Afrika, Tanzania, China, Angola, Sweden na Sychelles, hivyo vyama mara nyingi hupata zaidi ya 80% ya kura katika chaguzi nyingi, isipokua mara chache pale ambapo kunajitokeza upinzani mkubwa Kama mwaka 2015 ambapo CCM ilipata 54% na Chadema 38%, au Angola mwaka huu ambapo MPLA kimepata 62%, au huko Germany ambapo chama tawala kimekosa majority ya kuunda seeikari.

Ukiona nchi ambayo Haina "Dominant political parties Kama Kenya, kila mwaka Kuna chama kipya kinaingia madarakani na kuungwa mkono na watu bila hata kuwa na mizizi, hiyo nchi ni nchi ya hovyo, watu wake hawajitambui hawajui nini wanachagua.

Kenya mnachagua "personalities ' badala ya Ideologies, Kenya mliokua mnachagua Kati ya Rutto na Odiga, Tanzania huwa tunaichagia CCM na South Afrika wanachagua Democrat/Republican, UK wanachagua Labor/Conservative parties.

Ninyi wakenya hamjitambui kabisa katika politics, hebu tuambieni, ni ipi ideology ya chama cha UDA mlichokichagua?

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
but do u want to tell me tht kenyan politics will still be the same.
as in, still hotly🔥 contested, full of tension and heated🔥 like when Raila was present.. 🤔
if yes... i think i ll not agree with u
It won't, the established system has diluted it, majimbo has reduced it as far as presidential politics are concerned, siasa kali iko mashinani, county politics ndio itakua moto going forward..,
 
Vyuo walijenga vyote vikafungwa na serikali...

Google Jocuco na CARUMCO...


Hio kagera unayoidharau ni ya tisa kuchangia pato la taifa...na hakuna uwekezaji wowote wa maana wa serikali

View attachment 2347304

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Havikukidhi vigezo! Unataka kusema vya Kagera tu? St Joseph college Pwani na St Francis college navyo vilifungwa! Ukweli ni hamna moyo wa maendeleo! Mnategemea kila kitu mletewe!
 
Back
Top Bottom