Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Achana kubishana na huyo poyoyo mwenye chuki zake na Bukoba...

Yaan mtu anachukia Bukoba as if alibakwa huko


Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Kabisa. Huyu ni WIVU tu. Bukoba itaendelea kuwepo wajenge wasijenge watasoma huko huko vilikojengwa. Mbona watu wanaenda Ulaya, Marekani na Asia kusoma watashindwa nini kusoma mikoani.
 
Sasa kwa nini waviruhusu vijengwe ilihali wanajua havijatimiza vigezo...

Sasa mtu kakusaidia kutoa huduma ya elimu, baada ya kumsaidia unamkataza..na nchi yako wala haijafanikiwa katika hio sekta...
Nadhani watu waliopo TCU watakuwa na akili kama zako za chuki dhidi ya baadhi ya maeneo ya nchi...yaan ni kama mzazi uchukie baadhi ya watoto wako wakati ni watoto wako...

Hebu jaribu kutumia akili sio wivu na chuki zako..

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
kwahiyo ukianzisha chuo na walimu 10 na wanafunzi 100 kesho ukawa na walimu watano idadi ya wanafunzi 200 idadi ikiongezeka bado ipo juu uachwe tuu!
 
Sasa unaniuliza swali la Rugambwa secondary inayomilikiwa na kanisa? Hivi unataka kusema Tanzania nzima hamna sehemu zina shule kama hizo na still wana vyuo? Wacheni kulala wenzenu wanawaacha mbali!
Hapo sasa ndipo ushangae, Bukoba walipigwa stop isiwe chuo ila kwingine kuna sekondari na pia kuna vyuo taasisi hizo hizo za dini. Umenielewa bila shaka. I close my case sir.
 
Hapo sasa ndipo ushangae, Bukoba walipigwa stop isiwe chuo ila kwingine kuna sekondari na pia kuna vyuo taasisi hizo hizo za dini. Umenielewa bila shaka. I close my case sir.
mlijipiga stop nyie wenyewe nshomile endeleeni kutafuta uchawi!
120072859_177115090675493_6121438301060452560_n.jpg



104435701_140349491018720_5609876891008868038_n.jpg


104057443_138306504556352_2671922764115351150_n.jpg











 
kwahiyo ukianzisha chuo na walimu 10 na wanafunzi 100 kesho ukawa na walimu watano idadi ya wanafunzi 200 idadi ikiongezeka bado ipo juu uachwe tuu!
Sasa si umsaidie huyo mwekezaji baada ya kumfungia?..

Mbona vyuo vya serikali wanavisaidia?
Kufunga chuo sio solution kwa sababu mtu kuanzisha chuo kikuu kakusaidia kutoa huduma kwa wananchi lakin pia anaboost maendeleo ya eneo husika...

Nenda Bukoba angalia around vyuo hivyo vilivyofungwa mfano jocuco na CARUMCO uone uwekezaji wa hostels, majumba na stationeries...bila kusahau daladala na boda zilizokuwa zinaelekea huko...
Sasa ukifunga chuo si unapoteza ajira zote hizo...


TATIZO LA NCHI YETU TUNAONGOZWA NA WATU WENYE CHUKI, VISASI NA WANAOTUMIA TUMBO KUFIKIRI KAMA WEW



Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Nani kakwambia Hanna njaa Tanzania? Kama walivyo na false peace, wana false satisfaction ya Chakula. Tanzania knows how to shut the media's mouths.
Media zote za kimataifa zilizotapakaa kila kona ya ulimwengu zishindwe kulipoti majanga ya njaa ya Tanzania na ziweze kulipoti majanga ya kenya na sudan
Come on

Unadhani njaa ni siasa za Ruto na kenyatta,njaa haijifichi mzee,ukishikwa na njaa hata kama mkazaji vipi utaonekana tu automatically,
Wacha kujidanganya na kumjaza mwenzako ujinga otherwise hilo nenk njaa ulizungumzie kivingine ila si kwa kujifurahisha huko,nchi zinazokumbwa na matatizo ya njaa zinajulikana kwa whole world
 
Sasa si umsaidie huyo mwekezaji baada ya kumfungia?..

Mbona vyuo vya serikali wanavisaidia?
Kufunga chuo sio solution kwa sababu mtu kuanzisha chuo kikuu kakusaidia kutoa huduma kwa wananchi lakin pia anaboost maendeleo ya eneo husika...

Nenda Bukoba angalia around vyuo hivyo vilivyofungwa mfano jocuco na CARUMCO uone uwekezaji wa hostels, majumba na stationeries...bila kusahau daladala na boda zilizokuwa zinaelekea huko...
Sasa ukifunga chuo si unapoteza ajira zote hizo...


TATIZO LA NCHI YETU TUNAONGOZWA NA WATU WENYE CHUKI, VISASI NA WANAOTUMIA TUMBO KUFIKIRI KAMA WEW



Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Walimtia hasara sana Mwekezaji. Tangu Uhuru kupandishiwa pass mark/s hadi leo kufungwa kwa vyuo lakini watu bado tu wanatoboa. Jasiri ahachi Asili.

Sasa hivi vinaweza kujengwa kwa kuwa mama hana roho mbaya wala wivu wa maendeleo wa jamii fulani .
 
Don YF

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Kwa hiyo link yako ume post humu, can u tick the boxes on the following 👇 highlighted points as far as Tanzania is concerned kiukweli?., in such a study, in the world of academia, u have to subject the findings to a test to verify what the report is claiming. So if I may ask u, which research tools do u think they used to "measure" democracy in Tanzania specifically?

Tanzania hapa mko below par.., thus I strongly rubbish this world population review report on democracy, they guessed tu, facts speak otherwise ukilinganisha na the 👇 criteria they use to determine a 'democracy' as indicated below...,
1662458387221.png
 
Walimtia hasara sana Mwekezaji. Tangu Uhuru kupandishiwa pass mark/s hadi leo kufungwa kwa vyuo lakini watu bado tu wanatoboa. Jasiri ahachi Asili.

Sasa hivi vinaweza kujengwa kwa kuwa mama hana roho mbaya wala wivu wa maendeleo wa jamii fulani .
Hebu tuone...maana soon wanajenga tawi la chuo kikuu cha Dar es Salaam bukoba...

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
I told you Tanzania is irrelevant to Kenya when it comes to your politics, observant in 2020 Tanzanian election were from Burundi. Yani of all the 54 African countries Burundi pekee ndio iliona ikuje huko?
Burundi inajitambua kuliko nyie na ndiyo maana tukaona waje wao na c nyie, ila nyie mmeona cc tunajitambua kuliko nchi zingine ndio maana mkaomba tuje.
 
Hebu tuone...maana soon wanajenga tawi la chuo kikuu cha Dar es Salaam bukoba...

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
endeleeni kungoja wenzenu wana ma-vyuo!

Yaani waache kufanya
Mbeya College of Health and Allied Sciences (MCHAS)
Mkwawa University College of Education (MUCE)
fully fledged institutions waje Bukoba!
 
Back
Top Bottom