Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Nimetoa mifano ya South Afrika na USA umekimbilia Rwanda, wewe ni chizi Sana. Kenya hakuna chama chochote chenye ideology, kila mwaka kunaibuka vyama vipya na kuunda makundi yenye mrengo wa ukabila na ukanda.

Nchi Kama South Africa, Ghana, Algeria, Angola, Sychelles, Mauritius, Tanzania, USA, China, German, Norway, Sweden, Japan, huko ndiko kwenye vyama vyenye kuimarika na vyenye ideologies zenye kueleweka.

Katika hizo nchi nilizokutajia, lazima utakuta Kuna chama kimoja au viwili tu ndio vyenye nguvu kutokana na ideologies zao, vyama hivyo ndio vinapata kura nyingi miaka yote, sio rahisi hata kidogo kuving'oa hivyo vyama kutokana na uimara wa hivyo vyama, katika nchi ambazo chama kimoja kina nguvu Sana Kama Germany, South Afrika, Tanzania, China, Angola, Sweden na Sychelles, hivyo vyama mara nyingi hupata zaidi ya 80% ya kura katika chaguzi nyingi, isipokua mara chache pale ambapo kunajitokeza upinzani mkubwa Kama mwaka 2015 ambapo CCM ilipata 54% na Chadema 38%, au Angola mwaka huu ambapo MPLA kimepata 62%, au huko Germany ambapo chama tawala kimekosa majority ya kuunda seeikari.

Ukiona nchi ambayo Haina "Dominant political parties Kama Kenya, kila mwaka Kuna chama kipya kinaingia madarakani na kuungwa mkono na watu bila hata kuwa na mizizi, hiyo nchi ni nchi ya hovyo, watu wake hawajitambui hawajui nini wanachagua.

Kenya mnachagua "personalities ' badala ya Ideologies, Kenya mliokua mnachagua Kati ya Rutto na Odiga, Tanzania huwa tunaichagia CCM na South Afrika wanachagua Democrat/Republican, UK wanachagua Labor/Conservative parties.

Ninyi wakenya hamjitambui kabisa katika politics, hebu tuambieni, ni ipi ideology ya chama cha UDA mlichokichagua?

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Kindly, follow this year's elections and find out what sentiments Kenyans heard, establish the discourse that was across..,
I used Rwanda to educate your clueless mind.., sasa rudia kile umeandika na usome pole pole, utajitambua ulivyo, I rest my case.
 
It won't, the established system has diluted it, majimbo has reduced it as far as presidential politics are concerned, siasa kali iko mashinani, county politics ndio itakua moto going forward..,
mashinani, hio ni sawa kabisa. wacha siasa moto🔥 iwe wenyewe kwa wenyewe na sera zao, ila lakini isiwe kwa madini ya kikabila.. hapo sina shida mimi.. bora iwe amani atimae
 
Reading through this thread najipata kustaajabu , both dar and Nairobi globally tuko so insignificant ,poor financial flows,poor planning ,poverty,illiteracy levels,slums,underage pregnancies,corruption ,poor health ,Yaani you name it ,it exists in both,miji ambayo majority wanaunga tu mama ntilie eti tunacompare , ingekuwa new York,Beijing,Shanghai ,Tokyo,Amsterdam ,Washington ,London cities ambazo their activities are so important ndizo zinakuwa compared ,sio vijiji Kama Nairobi au dar ,hamna exports za maana zinazotoka from both , mine is a point ,hii thread iwe intellectually driven offering solutions ,mwaposti barabara mijengo sijui GDP ,kwani mwala mijengo na GDP .
Hebu intellectualism na maturity in economic case studies
If tupo serious compare both cities to Beijing ,then mlete mrejesho hapa
Umeshasema Beijing na New York wako mbele yetu sana hapo hapo unasema tulinganishe, sasa tunalinganisha nini na umeshadraw conclusion wanatuzidi.

Huwezi kujilinganisha na anayekuzidi, unapimana nguvu na mnayelingana. Bila soma vizuri kuna sehemu watu wanatoa ushauri mzuri tu na unafanyiwa kazi.
 
Na mbona mkaomba tuje kuwasimamia wkt cc wala huwa hatuna habari na nyie.
As far as I can remember it's your former president that begged to be allowed to come to Kenya and learn few things which will then later be copied by Tanzania.
 
Kindly, follow this year's elections and find out what sentiments Kenyans heard, establish the discourse that was across..,
I used Rwanda to educate your clueless mind.., sasa rudia kile umeandika na usome pole pole, utajitambua ulivyo, I rest my case.
Nyie ni mafala ndio maana kila uchaguzi kunaibuka vyama vipya, hamjiulizi chama kipya kinatoa wapi pesa za kufanya kampeni na kuhonga wanasiasa wkt ni chama kipya na subsidy ni ndogo.
 
Kwa majirani wenzetu hata mahakamani hakufikiki maanake aliye uongozini ashaweka vikwazo njiani.
Alafu huku kwetu aliyeshinda alishinda na gap ndogo Sana. Kama ni mimi pia ningeenda mahakamani maanake a small human error ingekuwa na uwezo was kubadili hiyo gap.
According to World transparency Internation ranking in democracy index, Tanzania beats Kenya hands down

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
ku observe na kusimamia ni vitu viwili tofauti kilaza, Tz haiwezi simamia election nchi yeyote ile 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂
Kama ya kwao ndio wameshindwa kusimamia, ya wengine ndio wataweza?😂😂😂
 
Bugando na SAUT si Vyuo vya serikali! Nyie endeleeni na misifa na kungoja hisani ya serikali! Kwani Mwanza (SAUT na Bugando), Iringa (TUMAINI na Ruaha), Morogoro (Jordan na Muuslim university), Mtwara (Stella Maris) na Moshi (KCMUCo na MWEU) wangengoja wangekuwa navyo?
Hujanielewa.Ungenijibu kwanini Bugando haikujengwa Bukoba badala yake ikajengwa Mwanza ningeendelea na mjadala ila kwa kuwa umeamua kuhitimisha kwamba Wahaya wana majigambo, basi sawa, nature humfuata mtu. Huko huko walikojenga vyuo watawapeleka watoto wao kusoma.
 

Markets gain Sh42bn after court upholds William Ruto's victory​

TUESDAY SEPTEMBER 06 2022
1662456609901.png

Supreme Courts judges at the Court premises in Nairobi on Monday, September 5, 2022, when giving verdict on the Presidential election Petition. PHOTO | DENNIS ONSONGO | NMG

Investors gained Sh42.1 billion in paper wealth in the highest daily gain at the Nairobi Securities Exchange (NSE) in three weeks as markets welcomed the Supreme Court ruling upholding the win by Deputy President William Ruto as the fifth president of the Republic of Kenya.

Market capitalisation jumped to Sh2.192 trillion from Friday’s close of Sh2.15 trillion while Kenya’s Eurobond yields trended lower from 15.1 per cent on Friday to 13.84 per cent on the 10-year 2024 bond.

This was despite a US Labour day holiday that meant thin volumes, pointing to confidence in the markets that may allow companies to loosen their purse strings and put back money into the economy as economic uncertainties clear.

In 2017, Kenya’s stock market crashed following the Supreme Court’s decision to annul the 2017 presidential election results and investors were worried that a similar verdict would hurt investments.

ALSO READ: Stock market gain Sh10bn ahead of poll case verdict

The Supreme Court on Monday upheld the election of President-elect Ruto dismissing seven petitions challenging his victory in the August 9 General Election.

RELATED STORIES​


Seven judges of the apex court threw out the cases in a unanimous decision stating that Dr Ruto and his running mate Rigathi Gachagua were validly elected.

“As a consequence, we declare the election of 1st respondent (Dr Ruto) as President-elect to be valid under Article 140(3) of the Constitution,” Chief Justice Martha Koome said.

The judges of the top court said they were not persuaded that the technology deployed by Independent Electoral and Boundaries Commission (IEBC) failed the standard of Article 86(a) of the constitution on integrity, verifiability, security and transparency, as alleged.

The court said a report by the Registrar of the court on scrutiny and recount of ballot boxes from 15 polling stations confirmed that the Forms 34A on the public portal and those issued to party agents and those delivered to the National Tallying Centre at Bomas of Kenya tallied.

The judges further said there were no illegalities and irregularities pointed out by the petitioners, among them Azimio La Umoja Raila Odinga, and those tabled were not of such magnitude as to affect the final result of the presidential election result.

The top court dismissed all the nine issues the judges were called upon to consider arising from the election petitions saying there was no evidence tabled by the petitioners to upset the results of the August 9 polls.

Businesses welcomed the ruling, which is expected to lift the economic stasis that has slowed activity in the country since the August 8 General election over the uncertainty of the court outcome.

East Africa’s biggest economy, which has a history of disputed polls weighing heavily on the economy, has demonstrated political maturity and fidelity to the rule of law that is set to boost investor confidence.


Focus economic analysts estimated the country might dodge historical polls hangover to record a five per cent growth, the highest in an election year since the return of the multi-party political system more than 30 years ago.

Expansion in Kenya’s economic activity has a history of slowing down in election years since the return of multi-party democracy.

Analysis of growth trends since 1992 shows the momentum in economic activities softened 2.83 per cent on average in election years and recovered by an average of 2.08 percent in the year after the election fever.


The election of Ruto has, however, exposed a deeply divided country, an economy that has stalled on election anxiety and deep financial challenges.

Former Prime Minister Raila Odinga captured half of the legislators under the Azimio banner with 23 senate seats against Ruto’s 24 and 162 MPs against Kenya Kwanza’s 159.

President Ruto has however convinced several legislators to defect from Azimio including independent MPs in a bid to ensure the split does not derail his legislative agenda.

Ruto also takes over the mantle aiming to kick start an economy deeply troubled by high inflation and lack of jobs.

The Kenya Kwanza administration faces the uphill task of delivering poll promises on jobs, cost of living, economic reforms, infrastructure and housing.

Dr Ruto has promised interest-free loans, multimillion-shilling stimulus programmes, housing, infrastructure, agricultural reform, completion of stalled projects as well as clearing pending bills.

The President-elect pledged to retain President Kenyatta’s subsidy programme in his manifesto but set up a legal framework to ring-fence the Fuel Stabilisation Fund used to pay oil marketers to keep prices low.

Throughout the campaigns, the Kenya Kwanza flag bearer promised to address the growing unemployment among the youth, if elected.

In his manifesto, President Ruto pushed for a bottom-up approach to job creation which entails funding smallholder agriculture and small business to the tune of Sh500 billion over his first term in office.



“Bottom-up economics is about investing the limited capital available where it will create the most jobs at the bottom of the pyramid. What does it mean practically? It means a commitment to invest Sh500 billion over the next five years in smallholder agriculture and the informal sector,” President Ruto said.

This will however be met by budgetary constraints on debt payments that take up over 63 per cent of revenues and a bloated wage bill that consumes 50 per cent of taxes.

He also takes over a government constrained with debt and wage bill problems that are under an International Monetary Fund programme that has called for increased taxation and elimination of subsidies.

Kick-starting the economy and creating jobs will be no mean task in an economy where the bulk of businesses are seeking to be lean after being hit by the effects of Covid-19.
 
Back
Top Bottom