Mbona hueleweki.. tunabadili jina la timu au unaanzisha timu nyingine?Hakuna kinachoshindikana mbona kuna Manchester mbili kwa ligi moja? Watatofautisha jersey tu Azam blue na Azam kijani
Mbona hueleweki.. tunabadili jina la timu au unaanzisha timu nyingine?Hakuna kinachoshindikana mbona kuna Manchester mbili kwa ligi moja? Watatofautisha jersey tu Azam blue na Azam kijani
Bakhresa ni group of companies SSB, kama umeingalia kama kampuni ndogo sawa, sioni au sishangai kiwanda kikiwa na timu yake na kikatumia jina la Azam Sugar.Mbona hueleweki.. tunabadili jina la timu au unaanzisha timu nyingine?
Mbona unakuwa mgumu .. hakuna sukari inaitwa azam sugar.. lbd bagamoyo sugar fc.. soma ulichoandika mwanzo na nilichokujibu.. ukianzisha azam sugar fc utakuwa unabrandisha nn?Bakhresa ni group of companies SSB, kama umeingalia kama kampuni ndogo sawa, sioni au sishangai kiwanda kikiwa na timu yake na kikatumia jina la Azam Sugar.
Whatever, hiyo picha ya mfuko wa sukari jina Azam kama halihusiani na kiwanda sawa unaweza kuwa kweli, as long as brand ya kiwanda cha sukari inabeba Azam sio shida timu kuitwa Azam SugarMbona unakuwa mgumu .. hakuna sukari inaitwa azam sugar.. lbd bagamoyo sugar fc.. soma ulichoandika mwanzo na nilichokujibu.. ukianzisha azam sugar fc utakuwa unabrandisha nn?
Jifunze maana ya brandingWhatever, hiyo picha ya mfuko wa sukari jina Azam kama halihusiani na kiwanda sawa unaweza kuwa kweli, as long as brand ya kiwanda cha sukari inabeba Azam sio shida timu kuitwa Azam Sugar
Kwani huo mfuko wamebrand nini kama sio Azam Sukari??? Product ni Azam Sukari, Manufacture ndio Bagamore SugarJifunze maana ya branding



Bagamoyo Sugar ni Company na Brand ni Azam Sukari na ndio itakavyofahamika mtaaniJifunze maana ya branding
Umegundua baada ya GoT kuamua kujenga hosp za kanda sahv hii tumeizoea hiviBenjamin Mkapa Hospital ,
University of Dodoma View attachment 2345707
View attachment 2345708
View attachment 2345709
Basi sawa nimeelewa.. so sukari inaitwa Azam Sukari sio Bagamoyo Sugar? Yan ukienda dukan unasema naomba Azam Sukari na sio bagamoyo sugar?Bagamoyo Sugar ni Company na Brand ni Azam Sukari na ndio itakavyofahamika mtaaniView attachment 2345713
Ndio hivyo Bagamoyo sugar ipo chini ya SSB group of companies na product yake ni Azam Sukari as per brandingBasi sawa nimeelewa.. so sukari inaitwa Azam Sukari sio Bagamoyo Sugar? Yan ukienda dukan unasema naomba Azam Sukari au Sukari ya Azam?
Umegundua baada ya GoT kuamua kujenga hosp za kanda sahv hii tumeizoea hivi
Mzigo wa maana Uko ChatoView attachment 2345720
Kabisa kaka,alafu Vijana wengi sana wamepata nafasi za masters za medicine mwaka huu..na wale wa masters za science...uko tuendako Medical specialists watapatikana kwa wingi level ya district hospitals...huduma za afya zitakua za kiwango sana hapo badae...Sio mbali tunafikaHakika, hii inasaidia sana kupunguza msongamano wa wagonjwa Muhimbili, wanaohitaji huduma za kibingwa.