Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Weka aerial view kila county ya Kenya wide angle tuone kama zinafanana hivi👇👇.., usiwe na haraka google earth ni free, data tu ndio wahitaji.., leo tusiandike kwa mate na wino upo, propaganda zako leo nazianika wazi wazi.., kindly be my guest..,
View attachment 2344021
View attachment 2344024
Sasa linganisha na huu ushuzi uliotapakaa mpaka ikulu ya Mzungu aliowaachia 😂😂😂😂

images (90).jpeg
images (91).jpeg
images (92).jpeg
images (95).jpeg
Screenshot_20220616-012132.jpg
images - 2022-05-31T192455.726.jpeg
images - 2022-05-31T152843.673.jpeg
Mukuru-Demolition.jpg
FQaAc2-XIAAmXqK.jpeg
FQaAcVEWQAAC5J0.jpeg
FQaAbLCXwAEcZaK.jpeg
images - 2022-05-31T123248.215.jpeg
images - 2022-05-31T123226.063.jpeg
images - 2022-05-31T123217.053.jpeg
 
Wewe ndio unahaja ya kujitetea, nimeonyesha taifa lenu lina ufukara kote kote, mazuri yanazungukwa na ufukara, ila Kenya ufukara ndio inazungukwa na maendeleo..,
Ushahidi; Google Earth.., link hiyo hapo.., inaonyesha Tanzania yote na Kenya yote wazi wazi, maneno yako yanabakia kukua tu maneno hewa
So umeshindwa kutaja county isiyo na slum
 
Picha ya kwanza sijui imeiokota wapi, picha nyingine za mawinguni vuta karibu ili tuone kwamba leo definition ya slum imebadilika. Picha za mwisho ni bonde la mto msimbazi au msimbazi basin na zimevunjwa hizo nyumba, na hata kama zingekuwepo huwezi kuita slum nyumba ya block iko poa sema tu ni unplanned, hayo maji ni kipindi cha mafuriko.

Ss nakuwekea picha ambayo haina mafuriko wala nn yn kukame kabisa alafu fananisha na picha za mafuriko ulizoweka ww ili tujue maana halisi ya slum View attachment 2344020View attachment 2344022View attachment 2344023View attachment 2344025View attachment 2344026View attachment 2344027View attachment 2344028
Yaani Wakunya wapumbavu sana, wanalinganisha nyumba za, tofali na zao za bati na tope na mbao 😂😂😂

FaMfXjLWQAEsMbZ.jpeg
 
Mwenazko anataka muondoe huu upuzi unao zidi kutapakaa.., he is right, penda ukweli kilaza.. yaani huu ufukara unapanuka kwa kasi!!..,
View attachment 2344053
View attachment 2344052
Hebu zoom hizo picha sio unaweka picha za mawinguni ili kujifurahisha, hapo shida ni unplanned settlement kitu ambacho hata mm sikipendi, lkn co slums hizo, hakuna slum hata moja hapo mashahidi ni Wakenya wenzenu wanaoishi huku au waliowahi kufika bongo.
 

Yaani na post Nairobi sehemu kubwa nione kama nitaona hizo chanche unapost ukijaribu kujikomboa.., next naweka Dar 2022.., tuone gani imezungukwa na ufukara na nyumba hovyo kwa wingi na upana..., utalia vumbi leo 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂
1662191054206.png

1662191231292.png

1662191241186.png

1662191249757.png

1662191259100.png
 
Sasa kunyaland ukiondoa hizi nyumba za mabati 80% ya wakunya watarudi mapangoni 😂😂😂😂

View attachment 2344071
80% eti..., google earh iko wacha kuandika kwa mate kilaza.., onyesha hiyo 80% imetapakaa sehemu 80% ya Nairobi..,
Naumbua propaganda zenu leo hii., 😜😜😂😂😂😂😂😂😂😂😂
1662191445456.png


90% ya makazi in Dar
1662191531402.png

1662191593478.png

1662191550840.png
 
Hebu zoom hizo picha sio unaweka picha za mawinguni ili kujifurahisha, hapo shida ni unplanned settlement kitu ambacho hata mm sikipendi, lkn co slums hizo, hakuna slum hata moja hapo mashahidi ni Wakenya wenzenu wanaoishi huku au waliowahi kufika bongo.
Hizi ni ufukara wacha zako wewe.., yaani raiya wakaiwaida ambaye sio maskini kwa kigezo cha Tanzania hii ndio maisha yake..,
Ground ya maisha ya mtu asiye maskini Tanzania.., na hii ndio 80% ya jiji...,
1662192413612.png

1662192331524.png

1662192097416.png

1662192108775.png

1662192375667.png

1662192387061.png

1662192227761.png

1662192245448.png

1662192261677.png

1662192275002.png

1662192302888.png

1662192140570.png

1662192151897.png

1662192207757.png
 
Back
Top Bottom