Msiwaze ndugu zangu hela zoote hizo huwa zinzrudi tu TANZANIA kwa njia ya kununua vyakula kwa hio wakenya ni manamba wa tanzania
Yule Bwana ndie mwanzilishi wa Tozo, sema yeye alianzisha kwenye mafuta (TARURA) kila lita ya mafuta kuna fungu la ujenzi wa barabara.Hakuna anayepinga tozo zisiwepo lakini hizi tozo zinamsaidia nani, pesa inayopelekwa kwenye miradi inatumika ipasavyo? Kabla ya tozo yule aliyetangulia mbona alifanya mambo makubwa yakaonekana bila hizi tozo?
Kama tutatozwa kwa ajili kuleta maendeleo na kukawepo unafuu wa maisha, bidhaa zikashuka, miradi ya maendeleo ikafanyika kwa ufanisi basi litakuwa jambo jema na hakuna atakayelalamika.
Kibanda cha mln 13,daraja la milion 353,watu wanaitwa na CAG hawataki kukaguliwa halafu tuseme tozo imefanya kazi kweli?
Kulikuwa na miradi ya Millenium Challenge Development Goals kwa hisani ya watu wa Marekani ili fund miradi mingi ya maendeleo kwa matrillion, sema uchaguzi wa Zanzibar wa 2015 zile figisu alizofanyiwa Maaalim Mmarekani akajitoa....Kwani hapo awali madarasa na vituo vya afya viliikuwa havijengeki?
Tunabadili jina la timu yetu, kuwa Azam Sugar FC au tutaanzisha timu mpya Azam Sugar FCHapa Mo akiiga, tutakuwa tumemaliza tatizo la sukar ndan ya nchi
Haitawezekana.. azam is already an established big brand.. na hakuna azam sugar lbd bagamoyo sugar fc... on other hand, jina la sponsor wao labda ndo wataweka bagamoyo sugarTunabadili jina la timu yetu, kuwa Azam Sugar FC au tutaanzisha timu mpya Azam Sugar FC
Hapa Mo akiiga, tutakuwa tumemaliza tatizo la sukar ndan ya nchi
Mizuri sana iyoLinapokuja suala la vyakula Tanzania ipo sayari tofauti!
Mihogo hii ni hatari!
View attachment 2345667View attachment 2345668View attachment 2345669View attachment 2345670View attachment 2345671
Hakuna kinachoshindikana mbona kuna Manchester mbili kwa ligi moja? Watatofautisha jersey tu Azam blue na Azam kijaniHaitawezekana.. azam is already an established big brand.. na hakuna azam sugar lbd bagamoyo sugar fc... on other hand, jina la sponsor wao labda ndo wataweka bagamoyo sugar
Uwekezaji mkubwa huo kwa mtanzania.Hapa Mo akiiga, tutakuwa tumemaliza tatizo la sukar ndan ya nchi