Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

80% eti..., google earh iko wacha kuandika kwa mate kilaza.., onyesha hiyo 80% imetapakaa sehemu 80% ya Nairobi..,
Naumbua propaganda zenu leo hii., πŸ˜œπŸ˜œπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
View attachment 2344073

90% ya makazi in Dar
View attachment 2344077
View attachment 2344082
View attachment 2344078
Nairobi ni slums tupu kushoto kulia 🀣🀣🀣🀣
Screenshot_20220626-134513.jpg
PicsArt_12-12-07.26.25.jpg
 
Hizi pictures za miaka 20 iliopita hivi hamnaga nyingine mpya kama hizi za leoleo? 🀣🀣🀣🀣

Screenshot_20220807-052801.png
Screenshot_20220715-062428_1.jpg
Screenshot_20220715-062442_1.jpg
Screenshot_20220715-062503_1.jpg
Screenshot_20220715-062558_1.jpg
Screenshot_20220715-062653_1.jpg
Screenshot_20220715-062731_1.jpg
Screenshot_20220714-111935.png
Screenshot_20220714-111918.png
Screenshot_20220714-111904.png
Screenshot_20220714-111846.png
Screenshot_20220713-185747.png
 
Yani pichaq za kitambo bado unatamba nazo.., takataka leo zipo kesho zimezolewa, kabisaa umeshindwa wewe..,
Hapa πŸ‘‡ pako nafuu sana kuliko picha ya pili..., fanya uchambuzi kilaza..., ni 2022
1662193301201.png

1662193349527.png


Hapa ni sehemu Dodoma 2022..,
1662193414289.png

1662193427052.png
 
Ni kweli, ni aibu mji wenye watu 6Milioni tu wanaishi mpaka 40km radius from the city, je tukifika 20Milioni tutafika wapi? Ujenzi wa nyumba za chini umepitwa na wakati na ni hatari kwa upatikanaji wa makazi bora ndani ya miji yetu? Ni muda sasa wa kuamka na kuanza kujenga apartments za kutosha, watu milioni 6 walitakiwa wasifike hata Kawe, Mbagala wala Gongo la Mboto.
Niliwahi kusema hili, kwamba nyumba za chini hazitufai, kwa sababu watu binafsi hawawezi jenga basi nhc, tba watumishi housing nk ziwezeshwe ili sehemu kama tandale, vingunguti wachukue hayo maeneo wajenge maghorofa kwa style ya magomeni waliovunjiwa wanapewa apartments kadhaa zinazobaki wanauza au kupangisha.

Tutajikuta dar na pwani zimeungana ila kuna watu 10m hii ni matumizi mabaya ya ardhi.
Tukiendelea hivi vizazi vijavyo vitakuja kosa sehemu za kulima tuwe tunaagiza vyakula Toka nje.
Kuna nyumba zinajengwa Dom za low quality mimi huwa naona wagejenga maghorofa kama ya medeli, wamechukua eneo kubwa sehemu ambapo wangejenga maghorofa manne tu.
Screenshot_20220903-092755~2.png
 
Dar es Salaam 2022 satellite images, propaganda na picha za upande upande pembeni....,

From its overview..,

1662194776813.png

CBD and immediate surroundings along the ocean...,
1662194821172.png

1662194832777.png

1662194841697.png

Getting inland..,
1662194892324.png

1662194947631.png

1662194962779.png

1662194974824.png

1662194904516.png

1662194914268.png

1662194922902.png

1662194998498.png

1662195008965.png
 
Niliwahi kusema hili, kwamba nyumba za chini hazitufai, kwa sababu watu binafsi hawawezi jenga basi nhc, tba watumishi housing nk ziwezeshwe ili sehemu kama tandale, vingunguti wachukue hayo maeneo wajenge maghorofa kwa style ya magomeni waliovunjiwa wanapewa apartments kadhaa zinazobaki wanauza au kupangisha.

Tutajikuta dar na pwani zimeungana ila kuna watu 10m hii ni matumizi mabaya ya ardhi.
Tukiendelea hivi vizazi vijavyo vitakuja kosa sehemu za kulima tuwe tunaagiza vyakula Toka nje.
Kuna nyumba zinajengwa Dom za low quality mimi huwa naona wagejenga maghorofa kama ya medeli, wamechukua eneo kubwa sehemu ambapo wangejenga maghorofa manne tu.
View attachment 2344161
Mkuu nyumba za chini huwa hazikosekani popote pale duniani.
 
Yani pichaq za kitambo bado unatamba nazo.., takataka leo zipo kesho zimezolewa, kabisaa umeshindwa wewe..,
Hapa πŸ‘‡ pako nafuu sana kuliko picha ya pili..., fanya uchambuzi kilaza..., ni 2022
View attachment 2344153
View attachment 2344155

Hapa ni sehemu Dodoma 2022..,
View attachment 2344156
View attachment 2344158
Hizo nyumba ni block na zina paa, ni kubwa na zina barabara, haya linganisha na hizi mud huts za Nairobi 🀣🀣🀣🀣

FQaAcVEWQAAC5J0.jpeg
FQaAbLCXwAEcZaK.jpeg
FQaAc2-XIAAmXqK.jpeg
images - 2022-05-31T123226.063.jpeg
images - 2022-05-31T123217.053.jpeg
 
Back
Top Bottom