Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

  • Nasikia karan mmoja analipwa 1.3m kwa zoezi zima. Sijajua wako wangapi, msisahau wenyeviti wa mtaa au vijiji
  • Nadhan inahusisha tender ya kununua zile vishkwambi, sijajua viko vingap..na vimenunuliwa kwa bei ngapi kwa moja
  • Pia nadhan inahusisha tender ya reflectors, sijajua imetumia ngap hapo

Lkn 400b is too much kwa hili zoezi lote, im trying kuringanisha bajet ya uchaguzi na hii ya Sensa, mbona kama ya uchaguzi ndo ngumu lkn imetumia hela ndogo zaidi ya hii ya sensa. But sijui lolote [emoji2]
Corona na vita vya Russia na ukraine vimesababisha gharama ya manunuzi ya vitu kuwa juu[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji23][emoji23]
 
Ukiona mawaziri wanajitokeza kutetea tozo, bila shara wameambiwa na mama wajitokeze hadharan kutetea uwepo wa tozo.. hii tozo moja kwa moja lawama inamuhusu mama na wala si mwigulu tu. Hizi tozo zinawaumiza wananchi wa chin, yan hata kidogo walichonacho bado mnataka kuwapunjia


Ila kuna vitu mama anafanya unajiuliza hiv ana nia ya kugombea uchaguzi ujao au vip..mana vinamuondolea kukubalika kwa watu
 
Ukiona mawaziri wanajitokeza kutetea tozo, bila shara wameambiwa na mama wajitokeze hadharan kutetea uwepo wa tozo.. hii tozo moja kwa moja lawama inamuhusu mama na wala si mwigulu tu. Hizi tozo zinawaumiza wananchi wa chin, yan hata kidogo walichonacho bado mnataka kuwapunjia


Duh
 
Tunasonga kwa kasi ya 5G

6EA01C68-F021-45CC-86DE-0FF6803BB0D6.jpeg
 
Ukiona mawaziri wanajitokeza kutetea tozo, bila shara wameambiwa na mama wajitokeze hadharan kutetea uwepo wa tozo.. hii tozo moja kwa moja lawama inamuhusu mama na wala si mwigulu tu. Hizi tozo zinawaumiza wananchi wa chin, yan hata kidogo walichonacho bado mnataka kuwapunjia


Ila kuna vitu mama anafanya unajiuliza hiv ana nia ya kugombea uchaguzi ujao au vip..mana vinamuondolea kukubalika kwa watu
Duuuuh! Tozo inapunguza gap baina ya aliye nacho na asiye nacho[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji1][emoji1][emoji1]

F*********ck Tz government
 
Akulinde Molah.! Akulinde Tanzania yetu 👇. Wimbo mzuri sana wa kizalando, Tanzania imejaaliwa tunu ya vipaji vya kuimba Don YF pitia hapa uone vile tunaipenda nchi yetu na tunatumia vipaji vyetu kuitukuza
 
Back
Top Bottom