Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Lete evidence ni managed by a kunyan.
Mnataka mletewe evidence mara ngapi?

Screenshot_20220825-105918_1.jpg
 
They don't know that malls are cheaper than buying from the normal shops around. 😂😂
Kwenu huko hamlimi, local finished goods kwa bidhaa za vyakula ni chache, unategemea kununua bei rahisi kweli kutoka kwa mchuuzi mdogo.? Lazima prices ziwe juu. Huku bongo kila kitu hususan chakula kinapatikana kwa bei rahisi zaidi since tunazalisha wenyewe hivyo vitu, prices lazima ziwe chini.. yupo kwahyo msilazimishe tufanane. We live in different worlds
 
Commenting with ignorance
We simba kile ki YouTube channel chako kanapata sh ngapi.? 🤣🤣🤣, Content zako zenye ziko na views mingi ni hii iliyoweka 2 years ago 👇
Screenshot_20220825-114808_1.jpg
kana 920 views 🤣🤣 ambapo YouTube wanalipa per 1k views, it's two years now, when ar you going to get paid bro.? 🤣
 
Yaani you guys have been so brainwashed to think all Kenyans are poor, and no wonder you are shocked at how there's a ton of malls and more are constructed everyday pigwa shock endelea kuamini 99% of kenyans are poor
Ikiwa malls ni kielelezo cha utajiri na njaa plus kuomba omba itakuwa kielelezo cha nn? Mm mtaani kwetu jina Kenya linamaanisha dhiki na ufukara.
 
A governor who is so passionate and charismatic with Nairobi affairs has been sworn in... Hii thread najua hivi karibuni itawaka moto
 
Ikiwa malls ni kielelezo cha utajiri na njaa plus kuomba omba itakuwa kielelezo cha nn? Mm mtaani kwetu jina Kenya linamaanisha dhiki na ufukara.
Sababu media zenyu hiyo ndo propaganda Zina penda kuwapa. Ili hali ni porojo tu. Ndo maanake milele hamtatufikia
 
Sababu media zenyu hiyo ndo propaganda Zina penda kuwapa. Ili hali ni porojo tu. Ndo maanake milele hamtatufikia
Ufukara wa Wakenya uko wazi na Ufukara wa Kenya uko wazi pia, angalia maisha wanayoishi Wakenya wengi ni kutangatanga kila kona ya dunia, angalia njaa inavyoua maelfu ya Wakenya, angalia uchafu ulioizunguka miji ya Kenya, angalia infrastructures za Kenya zilivyo za ubabaishaji, yani Kenya ni kielelezo cha ufukara duniani na ndiyo maana mna ma slums yaliyovunja rekodi ya kudunia mpk ss.
 
Tuanze moja moja ukiskia unapinga unasema haya 1. Technology
🤣🤣 Ar you crazy or something, kenya kuna technology.? Kuliko Tz.? Mnaweza hata kujenga barabara za lami.? Au unazungumzia investments za foreigners and nyie mki provide cheap laborers.? Ni kitu gani hapo kwenu kinachohusu technology kimefanywa na native kenyans.?
 
Back
Top Bottom