Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Heb leta hizo malls za kampala alaf nikufundishe kitu.. hizi article hata mimi naweza andika
Ham Shopping Mall Kampala

images (46).jpeg
images (47).jpeg
 
Utahangaika bure manzee, ukiona nakuhoji au nakukosoa chochote jua ya kwamba nimeshafanya research kuhusu hicho kitu na najua ninachokisema, sishtushwi na article Bro, mimi ni yule mwamba wa seeing is believing. 🤣🤣.. Malls za Uganda haziwezani kabisa na Tz
Are there malls in Tanzania?🤔🤔
 
Kwanza households products kwa malls ni cheaper than kwa maduka retail mitaani.., Kenyans even slum dwellers go for major shopping kwa malls.., bei ya unga, mafuta, sugar etc in bulk, kwa malls ni cheaper by far.., yaani Kenya sio Tanzania mahali niliona post eti a pastor anasema watu waende awaombee wabarikiwe eti angalau waweze na wao ku shop kwa malls ama supermarkets, yaani ukiona hizi fikra ina maana kwao shopping in a mall ni big deal, ufukara na lack of exposure ni ugonjwa Tanzania 😂 😂 😂 😂 😂 😂
They don't know that malls are cheaper than buying from the normal shops around. 😂😂
 
They don't know that malls are cheaper than buying from the normal shops around. 😂😂
I guess supermarkets wanatoa products directly from manufacturers, coz wako so cheap than retail shops.., alafu siku hizi almost all supermarkets have bakeries ndani so bei ya mikate is cheaper than kwa maduka nje.., Tanzania bado wako porini, jamii forums has exposed how a far behind Tanzania is, google earth shows clearly vile nchi yao ilivyo kwa sasa.., Hawa watu na mdomo yaani ubishi hawana mpinzani😂😂😂😂😂😂
 
Kweli wewe ni fool, the largest shopping center in Africa is in Morocco View attachment 2333913View attachment 2333914View attachment 2333915View attachment 2333916View attachment 2333917some other malls in Morocco View attachment 2333918
casablanca-marina-maroc-andre-der-krikorian-retail-buzz-artho-jerajian-jpg.2333919
pitia hii . And many more.. hivyo vi article vyako vya mchongo visikutie kidole punguani wewe
Aisee. Hawa jamaa wako juu vibaya mno. Huyo teargas amepata wapi hicho ki article kinachomwambia Kenya wapo juu Afrika nzima? Hata South Africa nao chali kwao?
 
I love how our independent bodies are taking charge and holding our leaders to accountability.... Although not yet there but they showing a commitment. For the first time all governors are required to sign a code of conduct when taking orth in which if broken they risk jail terms
 
Back
Top Bottom