Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hopefully nimekutoa ujinga ..
Hadi Uganda imewashinda😂😂

images (45).jpeg
 
There's no mall in Tanzania built by a Tanzanian. I'm not talking about govt.
We jamaa Kwahyo ndio kusema kule laboratory kunakutoa akili kabisa.? Sasa ukisema gvmt ndio imejenga hizo pesa zinatoka wapi? au hiyo gvt ni ya nani.? 🤣🤣 Nenda ukasome mambo ya kijamii utoe huo uozo kichwani mwako
 
We jamaa Kwahyo ndio kusema kule laboratory kunakutoa akili kabisa.? Sasa ukisema gvmt ndio imejenga hizo pesa zinatoka wapi? au hiyo gvt ni ya nani.? 🤣🤣 Nenda ukasome mambo ya kijamii utoe huo uozo kichwani mwako
I'm talking about individual like Chris Kirubi who built Two Rivers Mall. Milimani City was built by Botswana people. Palm village by the Chinese.
 
I'm talking about individual like Chris Kirubi who built Two Rivers Mall. Milimani City was built by Botswana people. Palm village by the Chinese.
Sasa nini mbaya, kama business men wa kenya wameona fursa kwenye malls then Tz's natives business men Wao wameona fursa kwenye hotels na ndio mana akina bakhresa na wengine wengi wanamiliki mahoteli makubwa kuliko hotels zote hapo Kenya
 
Question my Kenyan brothers:

As a country, you still receive food aid from across the world. Your people are dirty poor to afford even decent meal a day, who goes to these malls and to do what exactly?
Which year was that? remind me please? and why are these malls built in Kenya across the country kwa wingi kama hakuna market? only an idiot will reason like u.., alafu hiyo food aid imefanyika miaka mingapi ama mara ngapi? a simple diplomatic gesture from a country is food aid, Kenya sio fukara kama Tanzania, hamuna uwezo wa kusaidia mtu yeyote kwa vile amujiwezi wenyewe.., saidia huyu👇 kijana kwa hiyo clip ya Millard Ayo, ako na maarifa na ujasiri kushinda wengi wenu humu.., kwanza mlio kimbilia kutafuta maisha Dar na imewashinda mnaishi uswazi😂😂😂😂😂😂


Matatizo yenu ni kama laana ya ukoo, propaganda imewafumba macho, media zenu hazi expose ukweli kikamilifu, ila mko vibaya sana kama taifa, software problem, mnahitaji tambiko kukombolewa kiukweli.., hii👇ndio sura ya taifa ukichunguza nchi nzima.., kote kote huu muonekano kwa ukubwa na upana.., janga!!
1661405006496.png

1661405062613.png

1661405156201.png
 
ona... kisumu kwa mfano ina masoko mingi, tena kubwa kubwa kushinda ata za mwanza.. masoko kamavile Kibuye Market, Nyamasaria Market, na Uhuru Market, ni baadhi tu ya masoko kadhaa tajika mjini kisumu pekee


hapa, Uhuru Market in Kisumu, kwa mfano.. see for yourself👇🏽View attachment 2333984View attachment 2333985View attachment 2333986View attachment 2333987View attachment 2333988





Kibuye Market in kisumu, now nearing completion👇🏽
View attachment 2333991View attachment 2333979View attachment 2333981View attachment 2333982View attachment 2333983View attachment 2333990View attachment 2333989
Godown
 
The reason why he called you low IQ is because those malls are always full with people yet you are saying that no Kenyan can afford to shop from those malls. Unless those who usually goes there are Tanzanians.
Kwanza households products kwa malls ni cheaper than kwa maduka retail mitaani.., Kenyans even slum dwellers go for major shopping kwa malls.., bei ya unga, mafuta, sugar etc in bulk, kwa malls ni cheaper by far.., yaani Kenya sio Tanzania mahali niliona post eti a pastor anasema watu waende awaombee wabarikiwe eti angalau waweze na wao ku shop kwa malls ama supermarkets, yaani ukiona hizi fikra ina maana kwao shopping in a mall ni big deal, ufukara na lack of exposure ni ugonjwa Tanzania 😂 😂 😂 😂 😂 😂
 
Question my Kenyan brothers:

As a country, you still receive food aid from across the world. Your people are dirty poor to afford even decent meal a day, who goes to these malls and to do what exactly?
The moment you will decide to be freed from your mindset and realize that the kenyan lower to upper middle class is extremely high and growing daily is the moment you will stop asking such questions... Just try asking yourself how come they keep building new mega malls worth billions of shillings if they dont have ROI
 
Zinawasaidia nn wakati 99% ya Wakunya hamuwezi ku afford, tofauti kati ya Tanzania na Kenya ni kubwa sana, cc tunafanya miradi itakayompunguzia common mwananchi ukali wa maisha nyinyi wapumbavu mnafanya mamiradi ya kujionesha yanayoongeza ukali wa maisha kiasi cha kwamba njaa imekuwa wimbo wa taifa. Nyie mnajenga malls sisi tunajenga markets that's a big difference.
Yaani you guys have been so brainwashed to think all Kenyans are poor, and no wonder you are shocked at how there's a ton of malls and more are constructed everyday 🤣🤣 pigwa shock endelea kuamini 99% of kenyans are poor😂
 
Back
Top Bottom