Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Tofauti ni kama mbingu na ardhi
tapatalk_1601469218909.jpg
 
Kwenu huko hamlimi, local finished goods kwa bidhaa za vyakula ni chache, unategemea kununua bei rahisi kweli kutoka kwa mchuuzi mdogo.? Lazima prices ziwe juu. Huku bongo kila kitu hususan chakula kinapatikana kwa bei rahisi zaidi since tunazalisha wenyewe hivyo vitu, prices lazima ziwe chini.. yupo kwahyo msilazimishe tufanane. We live in different worlds
Nchi zote fukara bidhaa huwa bei rahisi, ata pombe, ila wengi bado wana shindwa kumudu., you are poor, kubali yaishe😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂
 
Ufukara wa Wakenya uko wazi na Ufukara wa Kenya uko wazi pia, angalia maisha wanayoishi Wakenya wengi ni kutangatanga kila kona ya dunia, angalia njaa inavyoua maelfu ya Wakenya, angalia uchafu ulioizunguka miji ya Kenya, angalia infrastructures za Kenya zilivyo za ubabaishaji, yani Kenya ni kielelezo cha ufukara duniani na ndiyo maana mna ma slums yaliyovunja rekodi ya kudunia mpk ss.
Porojo! umeandika kwa maumivu sana😂😂😂😂😂😂😂, umeteseka sana, hii ni wivuuu😂😂😂😂😂, onyesha hapa kama kuna wakati ata watu mia pekee wamekufa kwa ajili ya njaa Kenya in a year, wewe ni mchawi mrogi kweli😂😂😂 yaani unatamanigi fikra zako zikue ukweli lakini wapi, google earth iko, ikija Tanzania hauna pakutokea, eti unataja infrastructure na in Tanzania ni sehemu kidogo ya Dar ndio inajua meaning ya neno infrastructure,, yaani ata uandike porojo haubadilishi ukweli, zile siku za propaganda ziliisha,😜😜😂😂😂😂

Hizi ni hasira kutokana na wakenya kumepost malls, umeumwa kuona Tz hakuna la ku jibu, kawaida yako lazima utafute lolote kudhalilisha Kenya lakini una ambulia patupu, bado mko hovyo 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂
 
Back
Top Bottom