Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Lorry zimebeba raw materials kwa wingi, yaani ni mostly farm produce for food na zingine tunatumia kutengeneza finished products na ku export kwa faida zaidi.., ujinga ni laana nanii., the reason our total export revenue ni zaidi ya nchi zote ukanda huu.,
Niambie Raw material gan mnachukua na kutengeneza products...mbona hiz product za kenya hatuzioni huku

So hayo maroli yote yamejaa raw materials


Ushawahi fika mkuranga, kibaha au bagamoyo ukaona viwanda vilivyopo

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
The Queen looking at her Kingdom
20220824_185305.jpg
 
Kwahyo hawana fungu la kujenga barabara ya lami kwenda hosp ya kanda ?wanamaanisha nn wakisema ujenzi umakamilika
Labda ujenzi wa jengo tu. Na hapo wakicheza haijengwi hivyo, bajeti itakuwa inatengwa kila mwaka ila kukamilika mpaka mtu afukuzwe kazi
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu amekutana na kufanya mazungumzo na Makamu wa Rais Mtendaji wa Kampuni ya Equinor inayoshughulikia utafiti & uzalishaji wa Mafuta na Gesi kimataifa Bwn. Al Cook.
Pamoja na ujumbe wake, Bwn. Al Cook ameambatana na Makamu wa Rais wa Kampuni ya Shell (Tanzania) Bwn. Jared Kuehl

#CloudsDigitalUpdatesView attachment 2333652View attachment 2333653View attachment 2333654
Bila shaka mazungumzo yao yataleta tija kwa Taifa na wananchi wake kwa ujumla na siyo kwa wachache.
 
Coloho wameona? 😂
Hii hapa, hata hawaijui. It is right there behind Crystal Rivers. Yani that small area has 3 malls that can beat everything in East Africa outside Kenya. Yani mall Kenya zimekuwa kibao Mkenya atashangaa jinsi hiyo RockCity Mall inatesa Bongo hivo. Hiyo ikiwa Kenya hata hakuna mwenye ataijua.
DL4PcTEuwQFB_IMG_15492865680154599.jpg
EY9a3QjXkAUzELZ


DJI_0638.jpg
 
Hii hapa, hata hawaijui. It is right there behind Crystal Rivers. Yani that small area has 3 malls that can beat everything in East Africa outside Kenya. Yani mall Kenya zimekuwa kibao Mkenya atashangaa jinsi hiyo RockCity Mall inatesa Bongo hivo. Hiyo ikiwa Kenya hata hakuna mwenye ataijua.
DL4PcTEuwQFB_IMG_15492865680154599.jpg
EY9a3QjXkAUzELZ


DJI_0638.jpg
Please remind them that Coloho is in Syiokimau, not Karen or Runda.

tapatalk_1580125850299.png
tapatalk_1580125853118 (1).png
tapatalk_1580125857847.png
tapatalk_1580125855359.png
 
Hii hapa, hata hawaijui. It is right there behind Crystal Rivers. Yani that small area has 3 malls that can beat everything in East Africa outside Kenya. Yani mall Kenya zimekuwa kibao Mkenya atashangaa jinsi hiyo RockCity Mall inatesa Bongo hivo. Hiyo ikiwa Kenya hata hakuna mwenye ataijua.
DL4PcTEuwQFB_IMG_15492865680154599.jpg
EY9a3QjXkAUzELZ


DJI_0638.jpg
Actually Coloho Mall and Crystal River Mall are less than 1km apart. See the distance between them.

EY9a3QjXkAUzELZ_1.jpg
 
Hii hapa, hata hawaijui. It is right there behind Crystal Rivers. Yani that small area has 3 malls that can beat everything in East Africa outside Kenya. Yani mall Kenya zimekuwa kibao Mkenya atashangaa jinsi hiyo RockCity Mall inatesa Bongo hivo. Hiyo ikiwa Kenya hata hakuna mwenye ataijua.
DL4PcTEuwQFB_IMG_15492865680154599.jpg
EY9a3QjXkAUzELZ


DJI_0638.jpg
Nimecheki izi picha alafu kuna ngoma imering at the back of my head "kumama papa eeh kumama" 😂
 
Back
Top Bottom