Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Punguani limeingia kwenye jukwaaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

pale wakenyani wanapojifanya wajuaji kumbe si lolote
 
Payment inatokana pesa anayolipa advertser kwenye niche market., Kuna markets ambazo zinafaida kubwa kuliko zingine. Hizi zenye faida kubwa (m.f mortgage payment), advertisers huwa wana target ads zao zioneshwe maeneo fulani fulani tuu na hapo ndipo suala la lugha inapohusika.
ila mjomba kwenya suala la language sio suala kubwa ni namna ulivyo set content yako na kuihariri vizuri
 
Huyo ni dropout wachana na yeye.., St. kayumba type, sasa wako wanne humu, tutatumbuizwaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
we kama una bishana na mtu wa st kayumba naww pia ni the same sheeeeeeeeeeeeeeet na ww upo kwenye ule ule mfuko
 
My point is...., je Tanzania?
View attachment 2333381
Unapiga kelele mingi ilihali YouTube channels kubwa top 20 in EA zote ni channels za kutoka Tz na views wake 70% ni wakenya .. ni bora unyamaze tu mzee.. wale cheap travellers wakikenya 🀣🀣 akina miss trude, African travellers, teargas, I'm Mwarwa.. wote hakuna chochote wanapata huko YouTube vile ungesema labda wakae kwa comparison na wabongo..
 
Unapiga kelele mingi ilihali YouTube channels kubwa top 20 in EA zote ni channels za kutoka Tz na views wake 70% ni wakenya .. ni bora unyamaze tu mzee.. wale cheap travellers wakikenya 🀣🀣 akina miss trude, African travellers, teargas, I'm Mwarwa.. wote hakuna chochote wanapata huko YouTube vile ungesema labda wakae kwa comparison na wabongo..
APO UMENENA mkuu BONGO TUNAONGOZA na waangaliaji ni wakenya so apo umeona wakenya wananyo ihusudu bongo for real and for sure
 
ila mjomba kwenya suala la language sio suala kubwa ni namna ulivyo set content yako na kuihariri vizuri
Kuna advertiser wanaofanya brand awareness, hawa ni makampuni makubwa, hawajali nani ataona matangazo yao, wao wanamwagapesa tuu. Hapo lugha na eneo si la maana.

Kuna wale advertisers wanaotaka kuuza bidhaa zao kwa watu fulani au kutafuta leads (email, phone number e.t.c) hawa wanajali lugha, umri, jinsia na maeneo matangazo yao takaoneshwa.
 
Kuna advertiser wanaofanya brand awareness, hawa ni makampuni makubwa, hawajali nani ataona matangazo yao, wao wanamwagapesa tuu. Hapo lugha na eneo la maana.

Kuna wale advertisers wanaotaka kuuza bidhaa zao kwa watu fulani au kutafuta leads (email, phone number e.t.c) hawa wanajali lugha, umri, jinsia na maeneo matangazo yao takaoneshwa.
apo nimekuelewa #chamoto kumbe unajua
 
πŸ–πŸ½ a point of correction tuusan..

eldoret has every right to be called a 'City'.. ni vile tu haijapewa hadhi..
with nakuru having been inaugurated to city status recently.. eldoret with a population of 550,000, is next.. perhaps early next year. believe u me.. its only a matter of putting it down on pen and paper, otherwise the ground is already ripe..


eldoret city πŸ‘‡πŸ½
View attachment 2332863View attachment 2332859View attachment 2332861View attachment 2332862View attachment 2332864




View attachment 2332932View attachment 2332866View attachment 2332933View attachment 2332934View attachment 2332935




View attachment 2332905View attachment 2333017View attachment 2332868View attachment 2332869View attachment 2332871




View attachment 2332872View attachment 2332873




View attachment 2332889View attachment 2332890




View attachment 2332891View attachment 2332892View attachment 2332893
Inajitahidi ila bado Sana kufika kwa Arusha.
 
Bila Tanzania Kunyaland hamna kitu,wanaendesha maisha Kwa kutegemea Tanzania πŸ‘‡
 

Attachments

  • Screenshot_20220824-141009.png
    Screenshot_20220824-141009.png
    84.6 KB · Views: 6
Mara ooh Mwigulu kaleta tozo mara ataua uchumi πŸ˜†πŸ˜†..

Takwimu zinawakataa haters wa Mwigulu πŸ‘‡
 

Attachments

  • Screenshot_20220824-141037.png
    Screenshot_20220824-141037.png
    86 KB · Views: 6
  • Screenshot_20220824-140941.png
    Screenshot_20220824-140941.png
    57.5 KB · Views: 6
Back
Top Bottom