TECHB
JF-Expert Member
- Aug 16, 2022
- 703
- 1,632
Punguani limeingia kwenye jukwaaπππππππππππππππ
pale wakenyani wanapojifanya wajuaji kumbe si lolote
Punguani limeingia kwenye jukwaaπππππππππππππππ
wakunya someni hii kitu nyie wa zama za kale hahaaaaaaaaa ntawapasua vichwa soonsoma hii ww fisi maji wa kibera![]()
Forty per cent of Kenyans live in extreme poverty - World Bank
Kenya ranked the third poorest lower-middle-income country globally in the study.www.the-star.co.ke
muone tayari kaharaπππππππππππ
WatajeHuyo ni dropout wachana na yeye.., St. kayumba type, sasa wako wanne humu, tutatumbuizwa![]()






ila mjomba kwenya suala la language sio suala kubwa ni namna ulivyo set content yako na kuihariri vizuriPayment inatokana pesa anayolipa advertser kwenye niche market., Kuna markets ambazo zinafaida kubwa kuliko zingine. Hizi zenye faida kubwa (m.f mortgage payment), advertisers huwa wana target ads zao zioneshwe maeneo fulani fulani tuu na hapo ndipo suala la lugha inapohusika.
Leta vitu mzee....we unasema mgeni nitawanyoosha tyu naomba mtulie baboons nyie



we kama una bishana na mtu wa st kayumba naww pia ni the same sheeeeeeeeeeeeeeet na ww upo kwenye ule ule mfukoHuyo ni dropout wachana na yeye.., St. kayumba type, sasa wako wanne humu, tutatumbuizwaπππππππππ
Unapiga kelele mingi ilihali YouTube channels kubwa top 20 in EA zote ni channels za kutoka Tz na views wake 70% ni wakenya .. ni bora unyamaze tu mzee.. wale cheap travellers wakikenya π€£π€£ akina miss trude, African travellers, teargas, I'm Mwarwa.. wote hakuna chochote wanapata huko YouTube vile ungesema labda wakae kwa comparison na wabongo..My point is...., je Tanzania?
View attachment 2333381
APO UMENENA mkuu BONGO TUNAONGOZA na waangaliaji ni wakenya so apo umeona wakenya wananyo ihusudu bongo for real and for sureUnapiga kelele mingi ilihali YouTube channels kubwa top 20 in EA zote ni channels za kutoka Tz na views wake 70% ni wakenya .. ni bora unyamaze tu mzee.. wale cheap travellers wakikenya π€£π€£ akina miss trude, African travellers, teargas, I'm Mwarwa.. wote hakuna chochote wanapata huko YouTube vile ungesema labda wakae kwa comparison na wabongo..
Kuna advertiser wanaofanya brand awareness, hawa ni makampuni makubwa, hawajali nani ataona matangazo yao, wao wanamwagapesa tuu. Hapo lugha na eneo si la maana.ila mjomba kwenya suala la language sio suala kubwa ni namna ulivyo set content yako na kuihariri vizuri
apo nimekuelewa #chamoto kumbe unajuaKuna advertiser wanaofanya brand awareness, hawa ni makampuni makubwa, hawajali nani ataona matangazo yao, wao wanamwagapesa tuu. Hapo lugha na eneo la maana.
Kuna wale advertisers wanaotaka kuuza bidhaa zao kwa watu fulani au kutafuta leads (email, phone number e.t.c) hawa wanajali lugha, umri, jinsia na maeneo matangazo yao takaoneshwa.
Inajitahidi ila bado Sana kufika kwa Arusha.ππ½ a point of correction tuusan..
eldoret has every right to be called a 'City'.. ni vile tu haijapewa hadhi..
with nakuru having been inaugurated to city status recently.. eldoret with a population of 550,000, is next.. perhaps early next year. believe u me.. its only a matter of putting it down on pen and paper, otherwise the ground is already ripe..
eldoret city ππ½
View attachment 2332863View attachment 2332859View attachment 2332861View attachment 2332862View attachment 2332864
View attachment 2332932View attachment 2332866View attachment 2332933View attachment 2332934View attachment 2332935
View attachment 2332905View attachment 2333017View attachment 2332868View attachment 2332869View attachment 2332871
View attachment 2332872View attachment 2332873
View attachment 2332889View attachment 2332890
View attachment 2332891View attachment 2332892View attachment 2332893
Uongo uongo tu usio na faida yoyote







Mimi naona kwenye huu ubishani tuachane nao hawa wapuuzi, ni maneno na kelele ndio wataleta hapa na vipicha vya calvart otherwise hizo towns zao zote kuanzial Kisumu kushuka chini hakuna hata town moja yenye itawezana na league ya ARUSHA cityInajitahidi ila bado Sana kufika kwa Arusha.
Uongo wapi?Uongo uongo tu usio na faida yoyote![]()