Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Madhara ya kujipendekeza kwa mzungu na Kunyaland 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220823-180142.png
    Screenshot_20220823-180142.png
    135.5 KB · Views: 7
Hivi ndivyo Rais Samia ameboresha afya ndani ya mwaka mmja tuu 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220824-142117.png
    Screenshot_20220824-142117.png
    75.4 KB · Views: 6
😆😆😆😆 Hawa ndio tuliambiwa ni Wazalendo wa Chato ..

Kakoko wa TPA alikuwa untouched enzi za Mwendazake,atiwa mbaroni kwa ufisadi👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220824-123829.png
    Screenshot_20220824-123829.png
    156.8 KB · Views: 8
Don’t say WE are proud of
Say HE is proud of,
Biashara ya muzungu why are you trying to associate with it ?
Besides, we don’t see those logs on the roads , where do the muzungu sell these things ?
The government organizations are buying them under buy Kenya build Kenya program
 
Hapa napingana na wewe.
Wabongo wanapiga pesa nyingi tu mjini youtube Kingine Tanzania kuna contents nyingi tu hadi kuvutia watu kutoka nchi zingine kufata content Tanzania.
Hapa bongo ni rahisi sana mtu kupata subscribes milioni moja, mfano mdogo wangu channel yake ina subscribes laki tisa kasoro.

Kuna channels za vijana wadogo wadogo wanapiga pesa za Google adsense kuliko hao uliowataja hapo.
Hao wakubwa wanapiga tu pesa kwenye matangazo local yale ya kuingia mkataba na kampumi.

Hapa Africa ni South Africa pekee ndo wanapiga pesa ndefu zaidi kwenye Google ads kwa sababu cpc yao ni kubwa mfano click moja unaweza pata 0.90$ na kuendelea...ila hapa EA wala usidanganyike na kingereza...wote tunacheza kwenye 0.01$, hadi 0.05$ per click.

So ili upige pesa inabidi u-target nchi zenye CPC kubwa.
CPC kubwa views wachache= pesa ndefu.
CPC ndogo views wengi= pesa ndefu.
Yu gerrit?
Sasa mbona ubishe something that can be confirmed via YouTube data???? Nyi watu husinya sometimes
 
Kunyan wakileta sehemu ya mtaani safi kama hii,isiwe kwenye mall au express yao mpya naondoka jf sasa hivi
Toka JF Nyambaff 😂 😂 😂 😂 😜 😜 uwendazimu inakusumbua, unajitia hamnazo tu😂😂😂😂


 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu amekutana na kufanya mazungumzo na Makamu wa Rais Mtendaji wa Kampuni ya Equinor inayoshughulikia utafiti & uzalishaji wa Mafuta na Gesi kimataifa Bwn. Al Cook.
Pamoja na ujumbe wake, Bwn. Al Cook ameambatana na Makamu wa Rais wa Kampuni ya Shell (Tanzania) Bwn. Jared Kuehl

#CloudsDigitalUpdates
FB_IMG_16613553415402168.jpeg
FB_IMG_16613553476323167.jpeg
FB_IMG_16613553443317931.jpeg
 
Back
Top Bottom