The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,516
- 14,183
The government organizations are buying them under buy Kenya build Kenya programDon’t say WE are proud of
Say HE is proud of,
Biashara ya muzungu why are you trying to associate with it ?
Besides, we don’t see those logs on the roads , where do the muzungu sell these things ?
I think watanzania wengu huwa washamba sana even from your comments someone can noticekenya ni wataalam wa plopaganda tunawajua na blog mbao zenu za kujipa misifa uku amna kitu apo
Sasa mbona ubishe something that can be confirmed via YouTube data???? Nyi watu husinya sometimesHapa napingana na wewe.
Wabongo wanapiga pesa nyingi tu mjini youtube Kingine Tanzania kuna contents nyingi tu hadi kuvutia watu kutoka nchi zingine kufata content Tanzania.
Hapa bongo ni rahisi sana mtu kupata subscribes milioni moja, mfano mdogo wangu channel yake ina subscribes laki tisa kasoro.
Kuna channels za vijana wadogo wadogo wanapiga pesa za Google adsense kuliko hao uliowataja hapo.
Hao wakubwa wanapiga tu pesa kwenye matangazo local yale ya kuingia mkataba na kampumi.
Hapa Africa ni South Africa pekee ndo wanapiga pesa ndefu zaidi kwenye Google ads kwa sababu cpc yao ni kubwa mfano click moja unaweza pata 0.90$ na kuendelea...ila hapa EA wala usidanganyike na kingereza...wote tunacheza kwenye 0.01$, hadi 0.05$ per click.
So ili upige pesa inabidi u-target nchi zenye CPC kubwa.
CPC kubwa views wachache= pesa ndefu.
CPC ndogo views wengi= pesa ndefu.
Yu gerrit?
Kumbe mgeni ndo maana hehewe unasema mgeni nitawanyoosha tyu naomba mtulie baboons nyie
Toka JF Nyambaff 😂 😂 😂 😂 😜 😜 uwendazimu inakusumbua, unajitia hamnazo tu😂😂😂😂Kunyan wakileta sehemu ya mtaani safi kama hii,isiwe kwenye mall au express yao mpya naondoka jf sasa hivi
Jpm alikua anachukia wezi sana,ofcz inauma mnoKunyan wakileta sehemu ya mtaani safi kama hii,isiwe kwenye mall au express yao mpya naondoka jf sasa hivi
Mwamba ,Mwenazake, Jiwe utakavyo amua kumuita
Kwahyo hawana fungu la kujenga barabara ya lami kwenda hosp ya kanda ?wanamaanisha nn wakisema ujenzi umakamilika