TECHB
JF-Expert Member
- Aug 16, 2022
- 703
- 1,632
kenya ni wataalam wa plopaganda tunawajua na blog mbao zenu za kujipa misifa uku amna kitu apoMy point is...., je Tanzania?
View attachment 2333381
kenya ni wataalam wa plopaganda tunawajua na blog mbao zenu za kujipa misifa uku amna kitu apoMy point is...., je Tanzania?
View attachment 2333381
My point is...., je Tanzania?
View attachment 2333381
Hii sio "news" tena, usisumbuke kutujulisha, itakua "news" pale watakapotengeneza faida




jipe shughli kilaza, ulichanganyikiwa zamani😂 😂 😂 😂 😂
nyie ni masikini chini ya umasikini fisi sanasoma hii ww fisi maji wa kibera![]()
Forty per cent of Kenyans live in extreme poverty - World Bank
Kenya ranked the third poorest lower-middle-income country globally in the study.www.the-star.co.ke
masikini mnae msema wa TZ ana NG'OMBE ELFU ana kuku kama zote na mashamba shame on you kenya ety super power au super mackini and masikini wa BONGO anamiliki IPhone hahahaaa anfuga kuku na uku kula kuku ni chakula cha kawaida shame on younyie ni masikini chini ya umasikini fisi sana
Cooking data, that's allMpaka leo sijawahi kuelewa hawa watu wanatuzodije uchumi...
Bado hujaona mpaka wa Rusumo, Tnduma, Mtukula nk..maroli yanakuwa mengi sana
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
mgeni wetu, TECHB, kuna photos za kisumu na eldoret niliku dedicatia jana.. usisahau kuviangalia.. sawa..nyie ni masikini chini ya umasikini fisi sana
Sijakataa kuwa wapo wanaopiga pesa, nilichosema ni kuwa ukilinganisha contents za kiswahili na zile za kiingereza, wale wa kiingereza wanaadvantage kubwa ya kupinga pesa zaidi.Hapa napingana na wewe.
Wabongo wanapiga pesa nyingi tu mjini youtube Kingine Tanzania kuna contents nyingi tu hadi kuvutia watu kutoka nchi zingine kufata content Tanzania.
Ni kweli ni rahisi kupata subscribers wengi bongo kwasababu competition ni ndogoHapa bongo ni rahisi sana mtu kupata subscribes milioni moja, mfano mdogo wangu channel yake ina subscribes laki tisa kasoro.
Ni targeting tuu ya contents zako.Kuna channels za vijana wadogo wadogo wanapiga pesa za Google adsense kuliko hao uliowataja hapo.
Hicho ulichosema kuhusu wakubwa ndicho nilichokisema mwanzo.Hao wakubwa wanapiga tu pesa kwenye matangazo local yale ya kuingia mkataba na kampumi.
Bei ya CPC inategemeana na market (keyword na target audience), market kama za credit repair au insurance, advertiser wanalipa pesa nyingi sana lakini utakuta wengi wanalimit display ya hizo ads kwa specific area.Hapa Africa ni South Africa pekee ndo wanapiga pesa ndefu zaidi kwenye Google ads kwa sababu cpc yao ni kubwa mfano click moja unaweza pata 0.90$ na kuendelea...ila hapa EA wala usidanganyike na kingereza...wote tunacheza kwenye 0.01$, hadi 0.05$ per click.
Unayoyasema ni kurudia yale yale niliyoyasema, unafikiri utaweza vipi ku target market zenye cost per click kubwa kama content zako ni za kiswahili?So ili upige pesa inabidi u-target nchi zenye CPC kubwa.
Kaka, nilianza kufungua adsense account pamoja na google adwords (siku hizi wanaita google ads) mwaka 2004, kwa hiyo naelewa fika mambo haya yalivyo. Miaka ya 2004 -2006, tulikuwa tunatengeneza web pages nyingi kwaajili ya adsense tuu, na kufanya ip cloaking, kabla ya google kuwa smart nakufanya de indexing.CPC kubwa views wachache= pesa ndefu.
CPC ndogo views wengi= pesa ndefu.
Yu gerrit?
Rudi shule kwanza kisha uje wewe boya, uko hovyo up stairs 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂kenya ni wataalam wa plopaganda tunawajua na blog mbao zenu za kujipa misifa uku amna kitu apo
The 3 counties with the highest number of gay men in Kenya wakenya mnatia haibu sana mjirekebishe cjui mtaacha lini michezo kama iyo
wewe ndio kajinga sanaaaa hahahaaaaaaRudi shule kwanza kisha uje wewe boya, uko hovyo up stairs 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂
muone tayari kahara😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂wewe ndio kajinga sanaaaa hahahaaaaaa
we unasema mgeni nitawanyoosha tyu naomba mtulie baboons nyieHuyo ni dropout wachana na yeye.., St. kayumba type, sasa wako nne humu, tutatumbuizwa😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Punguani limeingia kwenye jukwaa😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂we unasema mgeni nitawanyoosha tyu naomba mtulie baboons nyie
Payment inatokana pesa anayolipa advertser kwenye niche market., Kuna markets ambazo zinafaida kubwa kuliko zingine. Hizi zenye faida kubwa (m.f mortgage payment), advertisers huwa wana target ads zao zioneshwe maeneo fulani fulani tuu na hapo ndipo suala la lugha inapohusika.kwani payment ni based on language ama clicks? wacha kutulisha matango pori!