dopchinski
JF-Expert Member
- Mar 11, 2021
- 3,387
- 3,683
Pesa za youtube zinatoka kwa advertizers wa adsense. Youtuber wengi wakitanzania hutumia kiswahili, lugha ambayo kwa kiasi kikubwa haina advertisers wanao target audience hao. Hii inafanya wao (youtuber wa kitanzania) kutotengeneza pesa kama wenzao wanaotumia kiingereza.Have even analyzed Tanzanian youtubers, very limited in scope of their coverage, ata wakija Kenya wanakaa wanyonge, kiuchumi hawana muscles kufanya mengi, chunguza na utofautishe na Wakenya., tunatamba zaidi ya Kenya.., kwani u think Kenyans are special? financial muscles makes the difference.
kwani payment ni based on language ama clicks? wacha kutulisha matango pori!Pesa za youtube zinatoka kwa advertizers wa adsense. Youtuber wengi wakitanzania hutumia kiswahili, lugha ambayo kwa kiasi kikubwa haina advertisers wanao target audience hao. Hii inafanya wao (youtuber wa kitanzania) kutotengeneza pesa.
Watanzania pekee wanaotengeneza pesa za maana kwenye channel zao ni hizi media kubwa kama global publisher ambapo makampuni makubwa ya kitanzania yanaweka matangazo kwenye video zao.
No matter what propaganda you bring around it we still proud of it.View attachment 2333234
Pesa za youtube zinatoka kwa advertizers wa adsense. Youtuber wengi wakitanzania hutumia kiswahili, lugha ambayo kwa kiasi kikubwa haina advertisers wanao target audience hao. Hii inafanya wao (youtuber wa kitanzania) kutotengeneza pesa.
Watanzania pekee wanaotengeneza pesa za maana kwenye channel zao ni hizi media kubwa kama global publisher ambapo makampuni makubwa ya kitanzania yanaweka matangazo kwenye video zao.
Kunyaland is nothing without Tanzania, absolutely nothing,
The main character of large economy is exporting muscles, Tanzania got them in tons!
Nothing Kenya export to Tanzania shadows even a quarter of this magnitude! Hapo bado other major 3 boarder points!!!
Hongera Watanzania kwa kuchapa kazi!
nimesha kuambia KENYA amjui kupiga picha
Kenya tuliwekwa league moja na South Africa last year..,Hapa napingana na wewe.
Wabongo wanapiga pesa nyingi tu mjini youtube Kingine Tanzania kuna contents nyingi tu hadi kuvutia watu kutoka nchi zingine kufata content Tanzania.
Hapa bongo ni rahisi sana mtu kupata subscribes milioni moja, mfano mdogo wangu channel yake ina subscribes laki tisa kasoro.
Kuna channels za vijana wadogo wadogo wanapiga pesa za Google adsense kuliko hao uliowataja hapo.
Hao wakubwa wanapiga tu pesa kwenye matangazo local yale ya kuingia mkataba na kampumi.
Hapa Africa ni South Africa pekee ndo wanapiga pesa ndefu zaidi kwenye Google ads kwa sababu cpc yao ni kubwa mfano click moja unaweza pata 0.90$ na kuendelea...ila hapa EA wala usidanganyike na kingereza...wote tunacheza kwenye 0.01$, hadi 0.05$ per click.
So ili upige pesa inabidi u-target nchi zenye CPC kubwa.
CPC kubwa views wachache= pesa ndefu.
CPC ndogo views wengi= pesa ndefu.
Yu gerrit?
Picha sio issue, fact is the point.nimesha kuambia KENYA amjui kupiga picha
FACT YA NINI WWPicha sio issue, fact is the point.
AU UNATAKA KUPELEKEWA MOTO SAIV EEEHPicha sio issue, fact is the point.
jipe shughli kilaza, ulichanganyikiwa zamani😂 😂 😂 😂 😂FACT YA NINI WW
Kenya tuliwekwa league moja na South Africa last year..,
View attachment 2333328
View attachment 2333329
View attachment 2333331
jipe shughli kilaza, ulichanganyikiwa zamani😂 😂 😂 😂 😂
angalia ARUSHA iyo isikae kireeeee
My point is...., je Tanzania?Mliwekwa na nani?
Hivi ushawahi hata kuwa youtuber au hata blogger! Au ni muendelezo wa ukunya!