Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kwanini ma road yenu machafu hivii?
pia hapa ni johannesburg, gauteng province..🤔

as a tanzanian would actualy say, "mwanzo hapa😳 mi naona tu ghorofa za udongo, matope ya dongo kundu na mefi"

cc: The best 007 with laughter🤣🤣

nb:
kenya and south afrika has the same morphology. tunafanana kwa vitu vingi tu. infact thts wht most nigerians say everyday on their youtube channels.

imagin, i initialy though hapa ni kenyaland!😆
Screenshot_20220823-235047_Google.jpg
 
na usisahau hio mall yenu 'Rock City Mall' ili designiwa na mkenyareé.. ila bado kwa mall concept, bado mko nyuma saaana.. 50 years behind if am not so wrong..

heb imagin, mall ziko mingi sana kenya, kiasi kwamba mall ya nguvu kaa hii hapa, ina exist lakini ata wakenya wengi hawana habari kuhusu hii mall. 'The Signature Mall' 🤔

Screenshot_20220823-201906_Gallery.jpg
Screenshot_20220823-201914_Gallery.jpg
Screenshot_20220823-201859_Gallery.jpg
Screenshot_20220823-201851_Gallery.jpg
Screenshot_20220823-201922_Gallery.jpg
Screenshot_20220823-201928_Gallery.jpg
 
Wageni waliokuja Arusha kwenye mkutano mkuu wa CAF walishangaa sana wakauliza huu mji ndio Capital ya Tanzania? Wakajibiwa huu mji sio Capital city bali ni mojawapo ya miji ya Tanzania. Kiuhalisia walishangazwa sana na level ya development kule Arusha.
hivi nimecheka yangu yote na hizi porojo zako!!🤣

wacha kutu tungia hadithi wee mchizi wangu dogo 🤣🤣
 
We jamaa utaacha lini kutumia vitu low quality? Kila siku simu yako haina chaji na hii ni 99% ya Wakunya wa humu mnamiliki vitu cheap sana, mna maisha magumu mno.View attachment 2332826
Shame on you shida yako ni ushamba unakusumbua hebu wewe weka your expensive stuff tuone.. mtu ambaye anongelea status za watu most of the time he is the cheapest kwa group
 
Back
Top Bottom