Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Nyumba za waarabu vs office blocks, hiyo naipea Eastlands kazi kwisha๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Aliekuambia kariakoo wanakaa waarabu peke yao ni nani? ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…

Hawa ni waarabu?

 
Aliekuambia kariakoo wanakaa waarabu peke yao ni nani? ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…

Hawa ni waarabu?


My point is they are apartments ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚ .., Dar ni Mombasa kabisaaaa
 
My point is they are apartments ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚ .., Dar ni Mombasa kabisaaaa
Inauma lakini ndio dawa ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…

Screenshot_20220716-072701.png
 
Yupi huyo?

Nahisi haujanielewa
Yaani Nape ndio kasema kuwa kipindi cha nyuma vifurushi vilikuwa juu kuliko kipindi hiki kwamba vimepungua wakati watu tunapunguza matumizi ya bundles ili tuweze kudumu muda mrefu?

Nikauliza swali ,ni yeye kweli amesema hivyo kwa akili yake au amewekewa maneno? Wanasiasa bana.
 
Mtapigia mama kura ama mnamrudisha Zanzibar ikija mwaka wa uchaguzi? naona kawatesa kwa kodi..., natabiri atashinda tu bado, pengine CCM imteme kimaksudi.,
Shida yake anapokea kila ushauri anaopewa bila kuupima kwa mapana yake. Hizi kodi zitamuweka pabaya kwenye ramani ya siasa. Wananchi ndio wataamua, kodi kodi kila kitu.

Wahuni si watu wanamchonganisha na wananchi wake.
 
Back
Top Bottom