Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

FawvBiyXwAAKCI9.jpg

Vile ambavyo wakenya wanaangalia maendeleo ya TZ
 
Makenya bhn hayana akili kweli kweli, eti yamenunua gari moja la maonesho ili nayo yaonekane yana BRT system, kila siku hivyo vi bus havina abiria wanapiga picha ili kushindana na Tz
Hivi hiyo barabara ya brt walitengeneza lini,waje tuwaonyeshe barabara za brt zinavyokua sio za kupiga rangi 😀
 
Back
Top Bottom