Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Sawa., hazifiki $100 hizo [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hapana bwana hata ukihesabu ni zaidi ya noti 50 zidisha mara elfu 10 inazidi hiyo $100[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
 
The City.

20220822_081751.jpg
 
Makenya bhn hayana akili kweli kweli, eti yamenunua gari moja la maonesho ili nayo yaonekane yana BRT system, kila siku hivyo vi bus havina abiria wanapiga picha ili kushindana na Tz [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kwanini kila company inawaletea basi mbili mbili tu kama vidonge vya UTI? [emoji28][emoji28][emoji28]

View attachment 2331511View attachment 2331512
Bus za maonyesho, hakuna hata siku moja ikabeba abiria, eti yanaturingishia sisi wenye functional BRT, hayaoni hata aibu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hapana bwana hata ukihesabu ni zaidi ya noti 50 zidisha mara elfu 10 inazidi hiyo $100[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Huyo ana wivu wa kike [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Tena uzuri umeziweka kwa kuzisambaza zinahesabika moja moja, na ni mpya asijesema umevunja kibubu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Na mwisho wa mwezi bado [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom