7seven
JF-Expert Member
- Mar 27, 2022
- 3,744
- 8,065
Hapana bwana hata ukihesabu ni zaidi ya noti 50 zidisha mara elfu 10 inazidi hiyo $100Sawa., hazifiki $100 hizo![]()
![]()
![]()
![]()
![]()





Hapana bwana hata ukihesabu ni zaidi ya noti 50 zidisha mara elfu 10 inazidi hiyo $100Sawa., hazifiki $100 hizo![]()
![]()
![]()
![]()
![]()





Na ni jeshi lenyewe wamefanya! Kunyaland umgekuta yamedondoka kabla ya kupigwa picture!Mwenge hii siyo. Kazi nzuri sana.![]()
Ni muozo lakini hawataki kzoeaKenya ni Dampo.
Haaa, haaa! Muda mrefu tu kaka. Halafu wameokoa gharama kubwa tu kama angetumika mkandarasi.Na ni jeshi lenyewe wamefanya! Kunyaland umgekuta yamedondoka kabla ya kupigwa picture!
Ukarabati mzuri sana umefanyika
Did Tanzania made covenant with muddy roads? Ama pesa za kuweka lami ndio hamna?
Hata njia kigogo na mandela road kuna nyumba zimewekwa alama ya kuvunjwa kwa sababu ya BRT phase 5Tunaanza ujenzi wa phase 3 sasa,na ni brt hasa sio hiyo yenu ya mchongo
siyo tv hiyo ni projector!we unazan TZ akuna TV kubwa kama izo hahahahaaa izo tena nyingi tu
Kama hapa ni uharoKwani naipori ni Kibera tu? 😅😅😅
Huu uharo usiomithilika ni London?View attachment 2331464View attachment 2331465View attachment 2331466View attachment 2331467View attachment 2331468View attachment 2331469View attachment 2331470View attachment 2331471View attachment 2331472
Nasema hivi kamuongopee babaako kijijini




Mwenzio anaweka picha za chini kwnn ww unaweka picha za mawinguni, unaogopa nn













Makenya bhn hayana akili kweli kweli, eti yamenunua gari moja la maonesho ili nayo yaonekane yana BRT system, kila siku hivyo vi bus havina abiria wanapiga picha ili kushindana na TzView attachment 2331483
Zoea mapema









Bus za maonyesho, hakuna hata siku moja ikabeba abiria, eti yanaturingishia sisi wenye functional BRT, hayaoni hata aibuKwanini kila company inawaletea basi mbili mbili tu kama vidonge vya UTI?
View attachment 2331511View attachment 2331512














Huyo ana wivu wa kikeHapana bwana hata ukihesabu ni zaidi ya noti 50 zidisha mara elfu 10 inazidi hiyo $100![]()







Tena uzuri umeziweka kwa kuzisambaza zinahesabika moja moja, na ni mpya asijesema umevunja kibubuHuyo ana wivu wa kike![]()




Na mwisho wa mwezi badoTena uzuri umeziweka kwa kuzisambaza zinahesabika moja moja, na ni mpya asijesema umevunja kibubu![]()






Hii ni picha ya kitambo, yakifanyiwa ma test... operations will begin officially on 24th
Unajua hilo daraja liko wapi na mahitaji ya hapo ni yapiWakati watu wengine wanajenga 8 lane bridge Tanzania Bado inajengana na 2 lane.
icho ni kichaka