Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ni wakenya wanajituma kununua vitu tanzania na si watanzania wanajituma kuuza kenya, ama unadhani hizo high tourist numbers from kenya ni tourism pekee
Wakija wanalala lodge zipi?
Wanakula wapi?
Wanajaza petrol wapi?
Wananunua mazao ya nani?

Tena mkija wenyewe kununua ndio faida inakua kubwa upande wa Tanzania!
 






Waletewalete naona Azam marine wana-offer croissant pia kwenye boat!
👍👍
 
cha kupewa siku zote akisitiri matako kiingereza ni kAMA KIjaluo.. tunaelewa sana sema atutaki shobo na lugha za kikoloni acha kuufurahia utumwa wa fikra.
Utumwa gani hapo sasa? Kusema mtu hajaelewa alichopost ni kosa?
 
Back
Top Bottom