Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Yaani JNIA iko na launge kienyeji sana ., nikisema sisi sio wenzenu mnanuna., ndio mnatoka porini kwa vile hii imefunguliwa majuzi tu kulingana na kauli yako, haikuwepo

In JKIA restaurants ni kadhaa.., with a world class launge.., Baba Levo kauliza mwenzake; "Airport yao waijua?" fala akajifanya kulinganisha na JNIA, Baba Levo akajibu: "Wewe mwehu, umekufa wewe, we' sio mzima!"..,
View attachment 2331045
View attachment 2331049
View attachment 2331050
View attachment 2331052
View attachment 2331054
View attachment 2331055
View attachment 2331056
Huu uwanja wenu ni wa kizee sn hata lounge yake imekaa kizamani mno, daima usithubutu kulinganisha JNIA na babu JKIA utaumbuka, cheki modernity hii hapa ya lounge za JNIA
image_downloader_1661155503944.jpg
image_downloader_1661155531071.jpg
image_downloader_1661155511297.jpg
image_downloader_1661155506609.jpg
image_downloader_1661155508631.jpg
image_downloader_1661155498380.jpg
image_downloader_1661155454824.jpg
image_downloader_1661155432914.jpg
image_downloader_1661155430462.jpg
image_downloader_1661155425692.jpg
image_downloader_1661155449966.jpg
 
Picha tatu za mwanzo ni za mawinguni, picha ya nne haina shida yoyote ni bati tu zina kutu, picha zinazofuata ni za 90s hakuna hayo maeneo kwa ss yashavunjwa ndiyo maana Google hawaoni Slums Tz, picha ya mwisho pia ya mawinguni, mm naweza kukuletea picha za leo leo zenye ma slums wewe huna picha yoyote recently zaidi ya picha za 90s, msifosi tufanane
Maisha yenu ni ya kishamba na sura ya ufukara mjini na vijijini, sio ajabu mnatajwa kati ya nchi tatu Africa zenye mafukara wengi wa kutupwa kwa ujumla, liko wazi sana, yaani inaonekana, mtu hatafuti, liko wazi, ukipinga google earth iko tayari😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

Muonekano kwa ground.., hakuna kitu kimevunjwa hapa danganya wapumbavu size yako 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂,😂😂😂
1661155518841.png

1661155487978.png

1661155464668.png

1661155475534.png

1661155712336.png

1661155870196.png
 
Maisha yenu ni ya kishamba na sura ya ufukara mjini na vijijini, sio ajabu mnatajwa kati ya nchi tatu Africa zenye mafukara wengi wa kutupwa kwa ujumla, liko wazi sana, yaani inaonekana, mtu hatafuti, liko wazi, ukipinga google earth iko tayari

Muonekano kwa ground.., hakuna kitu kimevunjwa hapa danganya wapumbavu size yako ,
View attachment 2331060
View attachment 2331059
View attachment 2331057
View attachment 2331058
View attachment 2331066
View attachment 2331078
Amepanic mpk anaweka picha za kijijini
 
Yaani nimekupa kionjo unakurupuka bila kuchunguza.., ukiona tunatajwa globally, tupe heshima, wivu na roho chafu ya kichawi weka pembeni.., 😜 😜 😂 😂 😂 😂 😂 banda la kuku haiwezi kutajwa sentensi moja na akina JKIA jameni, tazama👆👆 vile wamepanga viti kienyeji utadhani ni duka la kuuza sofa sets😂😂😂😂😂..,
1661156348675.png

1661157630399.png

1661157643059.png

1661157655463.png

1661157699493.png

1661157821986.png

1661157848364.png

1661157709138.png

1661157794451.png
 
muonekano wa kizamani kweli miaka ya 2002 hahahaaaaaaaaa azipo HD na wakenya amjui kupiga picha au nkupe mfano
Maumivu.., JKIA sio mwenzenu bana, inauma itabidi mmezoea 😂 😂 😂 😂
 
muonekano wa kizamani kweli miaka ya 2002 hahahaaaaaaaaa azipo HD na wakenya amjui kupiga picha au nkupe mfano
Nmeshangaa sana aloo, hawa jamaa tumewaacha mbali mno ni vile tu wana midomo mipana na pia tunawafariji tu na hii battle ili wasijiue kutokana na ugumu wa maisha kule kwao
 
kenya ubora wa majengo yao yapo kiwango cha chini sana kila siku majengo yanadondoka tyu akuna muonekano mzuri just mi maskini wa fikra hao
Maumivu.., JKIA sio mwenzenu bana, inauma itabidi mmezoea 😂 😂 😂 😂
ukweli ndio uo yenu ipo kizamani sana ukilinganisha na yetu
 
Nmeshangaa sana aloo, hawa jamaa tumewaacha mbali mno ni vile tu wana midomo mipana na pia tunawafariji tu na hii battle ili wasijiue kutokana na ugumu wa maisha kule kwao
kule kwenye uzi wa sgr bongo walikimbia na ninawaambia umu watakimbia tyu fisi awa
 
Back
Top Bottom