The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,480
- 98,527
Huu uwanja wenu ni wa kizee sn hata lounge yake imekaa kizamani mno, daima usithubutu kulinganisha JNIA na babu JKIA utaumbuka, cheki modernity hii hapa ya lounge za JNIAYaani JNIA iko na launge kienyeji sana![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
., nikisema sisi sio wenzenu mnanuna., ndio mnatoka porini kwa vile hii imefunguliwa majuzi tu kulingana na kauli yako, haikuwepo
In JKIA restaurants ni kadhaa.., with a world class launge.., Baba Levo kauliza mwenzake; "Airport yao waijua?" fala akajifanya kulinganisha na JNIA, Baba Levo akajibu: "Wewe mwehu, umekufa wewe, we' sio mzima!"..,
View attachment 2331045
View attachment 2331049
View attachment 2331050
View attachment 2331052
View attachment 2331054
View attachment 2331055
View attachment 2331056










