Sisi tunaongelea eneo Kwenye Terminal ambapo mtu ambaye sio msafiri (ila kaenda kupokea mtu au baada ya kumsindikaza mtu ) anaweza kukaa na kupata huduma ya chakula na vinywaji. Wewe picha uliziweka ni Lounge za Wasafiri ambazo hapa Terminal 3 zipo na za aina tofauti Mfano Twiga Lounge ya Air Tanzania etc.
Kwani kwenu wanaosindikiza watu wana access na hizo lounge ulizopost?
Najua kuna kipindi huo uwanja wenu watu wanapokelea wageni wao nje na wanalowana na mvua π Kama mmerekebisha hongereni.
Hapa Terminal 3 hata ukisubiria Mgeni Nje kabisa ya Jengo hulowani wala hupigwi jua tena na pa kukaa kupo.
View attachment 2331148
Halafu Utawazaje hakuna vitu kama hivi kwa uwanja wa Kisasa π
View attachment 2331151
View attachment 2331156
View attachment 2331157
View attachment 2331158