Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Unaendeshwa na mihemko,Sasa kati ya wakenya na watz ni wapi walioongoza kusafiri?achana ushabiki mandazi
1.Kulingana na comment yako ni kwamba Watz hawasafiri kabisa.

2. Ulitaka idadi ya Watz kwenda kutalii Kenya iwe sawa na idadi ya Wakenya wanaokuja Tz kutalii je unafahamu kwamba Tz ina vivutio vingi kuliko Kenya?

3. Huoni kama hiyo idadi ya Watz 76,000+ wanaoenda kutalii Kenya haitofautiani sana na idadi ya Wakenya 80,000 wanaokuja Tz kama utaangalia wingi wa vivutio tulivyo navyo? Je huoni kama Watz wana pesa nyingi licha ya kuwa na vivutio vyote vinavyopatikana Kenya lkn bado wanaenda?
 
FB_IMG_16609303336174041.jpeg
 
Pia kwakuongeza tu ni kwamba Wakenya wengi wanaokuja Bongo co watalii, wengi wao ni wanawake wanaokuja kujiuza Zanzibar na wanaume wengi wanakuja kutafuta fursa za ajira kwa kisingizio cha utalii.
We jamaa bana.Haya sawa
 
Good afternoon from America, coodip1

It’s 33 Celsius degrees where I am and I thought it would be nice to photograph the neighboring residential building with air conditioners.

View attachment 2328847
We jamaa English yako iko simple na nzuri sana...Yani mwandiko wako unasomeka bila tabu...Haya niambie ni material gani kwenye izo nyumba mana nimeona sana sijaelewa
 
even julius malema knows tht raila has tried this things upto 5×times! without any success...

his sincere advice to raila is that.. 'its hightime he hangs up his boots..' 🤣

 
Watanzania wanatazama hadi news za Kenya na unakuja kudanganya hapa. Kadoda (I don't know where he went to) used to share screenshot za TV stations za Kenya kwenye runinga yake humu ndani and many others I can't remember. Mini mnafatilia sana news za Kenya ndio maana wengi wenu mnajua hadi majina za mawaziri wetu. Mimi kuna wakati sikujua hata jina ya VP wenu
Ninyi mnafuatilia kila kitu cha Tanzania, kuanzia Bongo flavor, football ya Tanzania hadi siasa za Tanzania, hasa Magufuli, Lissu na wanamziki wote.

Diamond alikuja katika kampeni za uchaguzi wenu, baadhi ya viongozi wenu mumekuwa mkiwapa majina ya viongozi wa Tanzania (Fred Matiang'i/Magufuli).

Huku Tanzania inaweza kuputa mwezi mmoja bila kusikia redio au TVs station yoyote kupiga wimbo wa Kenya.

Kitendo cha Diamond kuitwa kufanya kampeni za Raila ni dhahiri kwamba tumewatawala sana

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom