joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,111
- 46,621
Mkuu, hawa wakenya usiwatetee kwa lolote sio watu wazuri hata kidogo, Lissu yupo Belgium lakini wanamuamini na kutumia maneno yake kuikandamiza na kuipinga Tanzania, vipi unasema kwamba Miguna yupo Canada hawezi kujua kinachoendelea Kenya?Nimesoma tweet iliyoletwa hapa ,pamoja na kitu alichokuwa anajaribu kukileta kwenye jamii ya Kenya ili kuleta taharuki uzuri ni kwamba Wakenya wamempinga sana kwamba aache uzushi.
Mtu mwenyewe yuko Canada anayajuaje ya Kenya?Kukitokea machafuko hayatamhusu wataangamia wengine wasiohusika.
Wakenya endeleeni kupuuza uvumi na uzushi wa wachumia tumbo, kuweni strong mpaka uchaguzi uishe na maisha yaendelee. Hata TISS wenyewe hawapo ni kuleta chuki tu kwa majirani zenu.
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app

