Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Masaki hiyo mdogo wangu, toka huko Ukonga uje ule bata siku moja mitaa hii, kuna club moja matata sana hapo juu, kuna jamaa yangu nilimleta hapo someday hakuamini kama yupo Bongo, akigeuka hivi muitaliano, mara kapita manzi wa kispanish, mara mchina mara Mjerumani, wahindi na waarabu ndio usiseme, bila kusahau ndugu zetu wa Kaskazini wanaokuja kushangaa bahari, a perfect picture of Tourists City, The Might Dar es Salaam.

Jinsi unavyokataliwa ndivyo unavyozidi kujipendekeza, kwa hiyo sehemu ikiwa na hao Wazungu na Wachina kwako ndiyo ufahari? Ungejua wakikuona tu wanaficha pochi wala usingeandika ulivyoandika.

Jithamini kwanza siyo lazima sehemu iwe na Wazungu ndiyo iwe ya maana, ukichukulia Wazungu wenyewe wanakudharau na wala hawakuthamini, ndiyo maana hata sasa hivi mnauza nchi kwa Waarabu na Wahindi sababu ya inferiority complex!
 
Lazima wasajili kitambulisho chako cha Diplomat, Unaweza azima kwa Masela . Tafuta masela wanaondesha magari yenye namba kama hizi Txx CD xxx mfano:
T 759 CD 570
Duh nimekupata.

Connection za duka la mwanzo lile nilikuwa nazo. Ngoja nitatemebelea hapo kupaona.
 
Kawaida, kama hadi Wakenya wanamudu mbongo yoyote aliye kwenye uzi huu anaweza pia kumudu au kama vipi unaweza kuchill hapo Bean There ukasip coffee taratiiibu huku unapitia uzi wetu pendwa.
Hili nalo wazo mkuu. Uzuri ukiwa kwenye huu Uzi unakuwa upo busy na vituko vya humu ndani hujishughulishi na mambo mengine dakika zinasonga
 
Safi mkuu, nimekusoma.

Nimevutiwa zaidi na duka la duty free hapo nijichukulie mambo yangu..

Kipindi kidogo pale one touch.. Kulikuwa na duka na duty free along kilima genye nilikuwa nachukua hard likaa sana.. Sijui Hilo la hapo wanahitaji credentials kuzama au vipi?
Umenikumbusha kitu,hiyo kilima genye nilikuwa napita sana mitaa hiyo kabla sijalikimbia jiji na kuja huku mashamabani
 
Kuna vitu viwili hapa.. kwanza, huo unga kupunguzwa bei ilikuwa gear ya kutaka Odinga kupewa kura. Sasa uchaguzi umeisha, na probably wameshaona matokeo kuwa hilo kundi lao (uhunye+odinga na huyo jamaa) limelose uchaguzi. Pili, in case kuna re-run, wategemee Odinga kupoteza kura zaid
Hapa sijakuelewa. Nani anaonekana/tegemea kupoteza?
 
Kiingereza wanakosea? Achana na excuses ambazo haziwezi kubadilisha facts.
Kwahiyo mtu akikosea kiingereza tu ndio unadhani anaiaibisha nchi, kwani Kiingereza ni lugha yetu ya Taifa?.
Kenya Kiswahili ndiyo lugha Yao ya Taifa na wanaikosea kila siku, mbona husemi kwamba wanadhalilisha nchi Yao?. Jiamini mkuu, achana na mawazo ya wakoloni, Tanzania tulisha toka huko.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Kuna vitu viwili hapa.. kwanza, huo unga kupunguzwa bei ilikuwa gear ya kutaka Odinga kupewa kura. Sasa uchaguzi umeisha, na probably wameshaona matokeo kuwa hilo kundi lao (uhunye+odinga na huyo jamaa) limelose uchaguzi. Pili, in case kuna re-run, wategemee Odinga kupoteza kura zaid
Eti wakenya wapo na pesa
Nicxie

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Kwahiyo mtu akikosea kiingereza tu ndio unadhani anaiaibisha nchi, kwani Kiingereza ni lugha yetu ya Taifa?.
Kenya Kiswahili ndiyo lugha Yao ya Taifa na wanaikosea kila siku, mbona husemi kwamba wanadhalilisha nchi Yao?. Jiamini mkuu, achana na mawazo ya wakoloni, Tanzania tulisha toka huko.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Kiswahili ni lugha yetu lazma tuilinde na kingereza ni muhimu Sana lazima tujifunze.

#Kingereza ndo kilifanya watu waseme shule ngumu..
 
Kwahiyo mtu akikosea kiingereza tu ndio unadhani anaiaibisha nchi, kwani Kiingereza ni lugha yetu ya Taifa?.
Kenya Kiswahili ndiyo lugha Yao ya Taifa na wanaikosea kila siku, mbona husemi kwamba wanadhalilisha nchi Yao?. Jiamini mkuu, achana na mawazo ya wakoloni, Tanzania tulisha toka huko.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Nyie lazy people tabia yenu ya kuidharau Kiingereza niko sure kumeathiri gdp yenu kwa kiasi kikubwa. Kama mngejua Kiingereza kwa mfano, mngekuwa na diaspora population kubwa ambao wangekuwa wanatuma remittance kwa wingi nyumbani. Pili, mngeweza kufanya kazi kokote duniani kama vile unapata Wakenya wapo Namibia na Botswana wanafanya kazi na lugha ya mazungumzo ni kiingereza. Sasa wewe na kiingereza chako kibovu cha ze ze ze na kujiuma ulimi utakosa fursa nyingi sana duniani.
 
Nyie lazy people tabia yenu ya kuidharau Kiingereza niko sure kumeathiri gdp yenu kwa kiasi kikubwa. Kama mngejua Kiingereza kwa mfano, mngekuwa na diaspora population kubwa ambao wangekuwa wanatuma remittance kwa wingi nyumbani. Pili, mngeweza kufanya kazi kokote duniani kama vile unapata Wakenya wapo Namibia na Botswana wanafanya kazi na lugha ya mazungumzo ni kiingereza. Sasa wewe na kiingereza chako kibovu cha ze ze ze na kujiuma ulimi utakosa fursa nyingi sana duniani.
Tony 254 sisi hatuli GDP bali tunakula real food with mboga saba huku, diaspora ni vibarua tuu huko nchi za watu hatutaki shida hiyo maana huku tumejitosheleza kwa kila kitu we dont need remittances from abroad.
 
Jinsi unavyokataliwa ndivyo unavyozidi kujipendekeza, kwa hiyo sehemu ikiwa na hao Wazungu na Wachina kwako ndiyo ufahari? Ungejua wakikuona tu wanaficha pochi wala usingeandika ulivyoandika.

Jithamini kwanza siyo lazima sehemu iwe na Wazungu ndiyo iwe ya maana, ukichukulia Wazungu wenyewe wanakudharau na wala hawakuthamini, ndiyo maana hata sasa hivi mnauza nchi kwa Waarabu na
Jinsi unavyokataliwa ndivyo unavyozidi kujipendekeza, kwa hiyo sehemu ikiwa na hao Wazungu na Wachina kwako ndiyo ufahari? Ungejua wakikuona tu wanaficha pochi wala usingeandika ulivyoandika.

Jithamini kwanza siyo lazima sehemu iwe na Wazungu ndiyo iwe ya maana, ukichukulia Wazungu wenyewe wanakudharau na wala hawakuthamini, ndiyo maana hata sasa hivi mnauza nchi kwa Waarabu na Wahindi sababu ya inferiority complex!
Sawa dada Kijakazi umesomeka, wewe endelea kuosha vyombo kwa boss wako acha sisi tunaoamini na kuishi kwenye diversity tufurahie maisha ndani ya jiji letu pendwa linalokaribisha wageni wa kila kona ya dunia.
 
Back
Top Bottom