7seven
JF-Expert Member
- Mar 27, 2022
- 3,744
- 8,065
Kama yeye ni mzalendo na anataka tujifunze siasa atuambie kuwa mbunge ilikuwa ni haki yake?
Aseme ukweli ni vipi analipwa mshahara wa Ubunge na kwa kupitia chama gani, wanasiasa ni wanafiki sana.
Kama yeye ni mzalendo na anataka tujifunze siasa atuambie kuwa mbunge ilikuwa ni haki yake?
It is well known that, majority of you Kenyans have low IQ, am sure you are among them.I'm not arguing, I'm letting a fool believe his foolishness.![]()
Wanasiasa wengi huwa wanasahau madudu yao wakiguswa kidogo tu wanaanza kupayuka. Hapo usikute CCM wameshamtext kuwa akamuone Tulia ana jambo na yeye, anahaha tuYeye huyu aliyesema kura ziliibiwa na CCM, ghafla akageuka akasema Chadema ni Chama cha wahuni, viongozi wake ni wahuni.
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app



Wala hajaguswa na mtu yeyote, hawa ni wachumia tumbo, ni wanasiasa maslahi, wakiwa sehemu yenye maslahi, watasifia kwa nyimbo na mapambio, wapo tayari kusema lolote ili kulinda maslahi yake, maslahi yakimalizika atawageuka na kuwadhalilisha Kama mbwa, mfano mzuri ni Sonko huko Kenya, hawa sio watu wa kuwasikiliza hata kidogoWanasiasa wengi huwa wanasahau madudu yao wakiguswa kidogo tu wanaanza kupayuka. Hapo usikute CCM wameshamtext kuwa akamuone Tulia ana jambo na yeye, anahaha tu![]()
Wacha pang'ang'a kijana viwanda sio kitu cha kufikirika, acha maneno tuende ground tuIf you believe Tanzania has more industries than Kenya then I'm not going to waste my time engaging you.🚮🚮
Hao number 3 na 4 wana jumla ya 0.63% ya kura. If margins are tight it can lead to a run-off.Sidhani Kama kutatokea run-off. Kwa jinsi ya kura zinavyokwenda, lazima mshindi atapatikana. Mara nyingi run - off hutokea Kama Kuna mgombea wa tatu mwenye nguvu anayepata kura nyingi, hivyo kumfanya mshindi wa kwanza kutofikisha 50%+1
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Nilimuambia Dopchinski kwamba Raila au Ruto anaweza kushinda. Soma comment yangu. Wewe ndio ulikwamia kauli kwamba Raila hawezi kushinda kwa sababu ya matamshi ambayo sidhani kama ni ya kweli.Si bado mzee matokeo hayajatoka yote?
In fact nilikuwa nasherehesha maana kauli hii mliileta nyinyi, na nikawauliza kwanini alimwambia hivyo, hamkunijibu.
Cha kushangaza umenigeuka tena wakati ulicoment kwa aliye ileta (dopchinsk),una usahaulifu sana baba.
Hukunielewa.
Mind you there are two four lanes bridges parallel to each other hence no need for 8 lanes bridge.Means dar is a fishing village. Watu millioni kumi wanatumia 4 lane bridgesuch a shame!
Jiwe gizani hili litakalompata shauri yake

Hivi Tony254 tuambie I, kwanini wakenya mko hivi?, Hili tatizo la kuporomoka kwa majengo hapo Kenya, limedumu kwa zaidi ya miaka 20 Sasa, hakuna hatua zozote zinazochukuliwa kulimaliza, au hata hili pia mnahitaji wazungu au wachina kuja kuwasaidia?.
Paradise

Soma replies huko nyuma utaona nani kajenga.Nani kaijenga?
Na mindombinu ya barabara, reli, bandari, umeme, maji etcHahahaha, wakati ninakuletea ushahidi, ninyi endeleeni kusherehekea skyscrapers sisi tunaimarisha kilimo, viwanda, utalii na madini
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Uwe na adabu wakati unazungumza kuhusu superpower wa ukanda huu.Hivi Tony254 tuambie I, kwanini wakenya mko hivi?, Hili tatizo la kuporomoka kwa majengo hapo Kenya, limedumu kwa zaidi ya miaka 20 Sasa, hakuna hatua zozote zinazochukuliwa kulimaliza, au hata hili pia mnahitaji wazungu au wachina kuja kuwasaidia?.
Rushwa, slums, crime, njaa, tribalism na hili la kuporomoka kwa majumba, nalo pia mnataka kulifanya kuwa ni miongoni mwa matatizo yaliyoshindikana kutatuliwa hapo Kenya?. Kweli Kenya mnatusikitisha Sana.
Tony254
Don YF
Nicxie
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Gorofa zote hizo hakuna ya serikali hata moja.
Inabidi mabalozi wetu wa promote coal na gas ya Tanzania hasa kipindi hiki Europe wako kwenye energy crunch.
Too close to call. I doubt kama kuna mtu atafikisha above 50%Unajuaje kwamba kutakuwa na run-off?