Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Uongo mtupu
Hajui Uhuru heights, Viva Tower, Sky tower, Palm Village, Avic Town, Noble victoria, Treasure Victoria, Avic Intl (sea view) Avic apparments (Oysterbay) ,Dream glory residence, dongxin huafu ni private investments, na Hata MNF Towers ni JV na CRJE.
Tony254 umeiona hii.?
 
Nimekuuliza kuna ulazima gani daraja liwe na njia nane?maana umekua ukilazimisha Tz tukuonyeshe daraja kama lenu hujioni kama mwehu?kwahyo kama lenu lina lane8 ndio lazima lazima madaraja yajengwe hivyo?Fala
Means dar is a fishing village. Watu millioni kumi wanatumia 4 lane bridge 😂😂 such a shame!
 
Screenshot_20220811-120319.jpg
Westlands Constituency Tally Centre
Screenshot_20220811-120350.jpg
Screenshot_20220811-120407.jpg
 
and remember this is railas's very last chance... his very last bullet, that is..
asipo toboa tena hii, sijui itakuaje tena kwa wafuasi wake.. ole wangu wao..
hivi, watakua wamestahimili msongo wa mawazo nyingi since 1997, 2007, 2013, 2017 na sasa 2022 View attachment 2320622
Kama.baba yake alishasema hawezi kushinda wafuasi wake ni akina nani wapinge kauli ya mzee.

Wakati mwingine kauli za wazee ni sheria.
 
Najua mnatama sana tuwe na vurugu hehe kamativya roho chafu lakini I hope we don't , it affects alot of people...... Halafu it will be hard mtu kukana hizi kura sababu zote zimewekwa online mtu yoyote aliye omba idhini anaeza kuzichambua
Sasa iweje huyu mjinga kamtandika jamaa risasi?

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Uhuru heights 27F , Viva Tower 23F, Sky tower 22 F, Palm Village, Avic Town(A whole satellite town), Noble victoria 16F, Treasure Victoria 18F, Avic Intl (sea view) Avic apparments (Oysterbay) ,Dream glory residence, dongxin huafu ni private investments, na Hata MNF Towers 30F ni JV na CRJE.
Sawa Ndinda. Umejibu vizuri. Kumbe ni kweli mnazo.
 
Back
Top Bottom