Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kwahiyo kwasababu ninyi mnathamini skyscrapers na sisi tunathamini kilimo na viwanda, nani amemshinda mwenzake?

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Tunathamini vyote, both skyscrapers na Kilimo na viwanda ndio maana tumewashinda vyote - labda Kilimo kidogo mtatuhemesha kisa mna ardhi Kubwa Zaidi yenye mvua Ila viwanda hamtufikii hata kwota. Mada yangu ni kwamba huwa mnaleta mjadala halafu mkishashindwa mnasema vile kinachojadiliwa hakina maana ilhali ni nyinyi ambao mmeleta huo mjadala.
 
Kama.baba yake alishasema hawezi kushinda wafuasi wake ni akina nani wapinge kauli ya mzee.

Wakati mwingine kauli za wazee ni sheria.
Punguza uropokaji. Hebu washa runinga yako uone nani yuko mbele.
 
Soko la Kariakoo,How is happening 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220811-125319.png
    Screenshot_20220811-125319.png
    79.3 KB · Views: 12
  • 20220811_125325.jpg
    20220811_125325.jpg
    48.1 KB · Views: 8
Tunathamini vyote, both skyscrapers na Kilimo na viwanda ndio maana tumewashinda vyote - labda Kilimo kidogo mtatuhemesha kisa mna ardhi Kubwa Zaidi yenye mvua Ila viwanda hamtufikii hata kwota. Mada yangu ni kwamba huwa mnaleta mjadala halafu mkishashindwa mnasema vile kinachojadiliwa hakina maana ilhali ni nyinyi ambao mmeleta huo mjadala.
Kwanza aliyeleta mada ya kwamba Tanzania skyscrapers zinajengwa na serikali na sio private sectors ni Tony254 kutaka kuonyesha kwamba kile kinachofanyika Kenya ni sahihi na kinachofanyika Tanzania sio sahihi.

Kuhusu viwanda, Kenya tumewazidi Sana katika Kilimo, utalii, viwanda na construction sector, Kama unabisha tuanze kuweka data, chagua tuanze sector gani?, tulinganishe thamani ya uwekezaji katika kila sector

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Royal tour part II in the offering ,itaitwa the Hidden Tanzania👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220811-124834.png
    Screenshot_20220811-124834.png
    134.1 KB · Views: 10
  • Screenshot_20220811-124511.png
    Screenshot_20220811-124511.png
    135.2 KB · Views: 11
Kwanza aliyeleta mada ya kwamba Tanzania skyscrapers zinajengwa na serikali na sio private sectors ni Tony254 kutaka kuonyesha kwamba kile kinachofanyika Kenya ni sahihi na kinachofanyika Tanzania sio sahihi.

Kuhusu viwanda, Kenya tumewazidi Sana katika Kilimo, utalii, viwanda na construction sector, Kama unabisha tuanze kuweka data, chagua tuanze sector gani?, tulinganishe thamani ya uwekezaji katika kila sector

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
If you believe Tanzania has more industries than Kenya then I'm not going to waste my time engaging you.🚮🚮
 
Kwa bahati mbaya ikiwa kutatokea run-off, hii ndio itakuwa run-off ya kwanza kuwahi kutokea ukanda wetu wa East Africa.
 
Kwa bahati mbaya ikiwa kutatokea run-off, hii ndio itakuwa run-off ya kwanza kuwahi kutokea ukanda wetu wa East Africa.
Sidhani Kama kutatokea run-off. Kwa jinsi ya kura zinavyokwenda, lazima mshindi atapatikana. Mara nyingi run - off hutokea Kama Kuna mgombea wa tatu mwenye nguvu anayepata kura nyingi, hivyo kumfanya mshindi wa kwanza kutofikisha 50%+1

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Punguza uropokaji. Hebu washa runinga yako uone nani yuko mbele.
Si bado mzee matokeo hayajatoka yote?

In fact nilikuwa nasherehesha maana kauli hii mliileta nyinyi, na nikawauliza kwanini alimwambia hivyo, hamkunijibu.

Cha kushangaza umenigeuka tena wakati ulicoment kwa aliye ileta (dopchinsk),una usahaulifu sana baba.

Hukunielewa.
 
If you believe Tanzania has more industries than Kenya then I'm not going to waste my time engaging you.🚮🚮
You idiot you don't need belief in something you can see and touch, hamna viwanda kuzidi Tanzania hii sio imani ni uhalisia sababu viwanda vipo vinaonekana, nitajie kiwanda kisichopo Tanzania kunyaland mnacho!
 
Back
Top Bottom