Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

92128AE3-3D22-43B2-85DF-FA0C6D7F360B.jpeg
 
Hata Magufuli alikataza NSSF na Mashirika mengine ya umma kuendelea kujenga skyscrapers badala yake kwenda kuwekeza katika viwanda na kilimo ili kutengeneza ajira, hatupendi FDI kwenda kujenga skyscrapers badala yake FDI tunazielekeza katika maeneo ya uzalishaji ili kuongeza Ajira na uzalishaji wa bidhaa ili kukuza "exports zetu". Endeleeni kusherehekea skyscrapers wakati sector yetu ya kilimo na viwanda inapaa kuwazidi, ndani ya nusu mwaka huu, exports za Tanzania zimezidi $11B

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Unapenda uongo. Eti ndani ya miezi 6, exports za Tanzania zimefika $11 billion? Hebu leta ushahidi haraka.
 
Hata Magufuli alikataza NSSF na Mashirika mengine ya umma kuendelea kujenga skyscrapers badala yake kwenda kuwekeza katika viwanda na kilimo ili kutengeneza ajira, hatupendi FDI kwenda kujenga skyscrapers badala yake FDI tunazielekeza katika maeneo ya uzalishaji ili kuongeza Ajira na uzalishaji wa bidhaa ili kukuza "exports zetu". Endeleeni kusherehekea skyscrapers wakati sector yetu ya kilimo na viwanda inapaa kuwazidi, ndani ya nusu mwaka huu, exports za Tanzania zimezidi $11B

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Wakenya wanapenda vitu cosmetic lakini ukiangalia ndani ni uozo mtupu.
 
Kama ni uongo basi leta ushahidi. Leta skyscraper hata moja hapo Dar es salaam yenye ghorofa zaidi ya 20 ambayo haijajengwa na serikali ya Tanzania au shirika la kiserikali.
Mwalimu Nyeree twin tower 32FL
 
Kama ni uongo basi leta ushahidi. Leta skyscraper hata moja hapo Dar es salaam yenye ghorofa zaidi ya 20 ambayo haijajengwa na serikali ya Tanzania au shirika la kiserikali.

Uhuru heights 27F , Viva Tower 23F, Sky tower 22 F, Palm Village, Avic Town(A whole satellite town), Noble victoria 16F, Treasure Victoria 18F, Avic Intl (sea view) Avic apparments (Oysterbay) ,Dream glory residence, dongxin huafu ni private investments, na Hata MNF Towers 30F ni JV na CRJE.
 
Hata Magufuli alikataza NSSF na Mashirika mengine ya umma kuendelea kujenga skyscrapers badala yake kwenda kuwekeza katika viwanda na kilimo ili kutengeneza ajira, hatupendi FDI kwenda kujenga skyscrapers badala yake FDI tunazielekeza katika maeneo ya uzalishaji ili kuongeza Ajira na uzalishaji wa bidhaa ili kukuza "exports zetu". Endeleeni kusherehekea skyscrapers wakati sector yetu ya kilimo na viwanda inapaa kuwazidi, ndani ya nusu mwaka huu, exports za Tanzania zimezidi $11B

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Mkishindwa huwa mnabadilisha goal posts.
 



Hong Kong shipbuilder set to deliver tugboats for EACOP Project in Tanga​

by Editor

10/08/2022

in Energy

Hong Kong shipbuilder set to deliver tugboats for EACOP Project in Tanga


Cheoy Lee Shipyards has completed harbour and escort tugs for several international clients over the past three months including Tanzania.

The Hong Kong-headquartered shipbuilder delivered tugs to owners in Africa, New Zealand and the Pacific, while passing a key production milestone on tugs for a domestic owner.

TANGA-PORT.jpg

A view of Tanga Port. The two tugboats are sailed by Redwise from China to Dar es Salaam, Tanzania enroute to Tanga where they will assist ships at an oil export port. Photo/ courtesy

Its latest completions are two 492-gt tugs destined to assist tankers in an export terminal in east Africa. Cheoy Lee’s Hin Lee shipyard in Zhuhai, China built Chongoleani and Tanga Mpya to Robert Allan Ltd (RAL) RAmparts 3200-CL.

Both 32-m tugboats, part of a four-vessel construction order Cheoy Lee is implementing for the Tanzanian Port Authority (TPA), are being sailed by Redwise from China to Dar es Salaam, Tanzania enroute to Tanga where they will assist ships at an oil export port.

According to automatic identification system (AIS) data, both tugs, each with a beam of 12 m, had a stopover at Vung Tau, Vietnam 30 June for fuel and supplies before their voyage across the Indian Ocean.

In the port of Chongoleani, a new tanker terminal has been constructed as the terminus of the East African Crude Oil Pipeline. This 1,445-km pipeline transports crude oil from Hoima in Uganda to Chongoleani in Tanga region.

SOURCE: RIVIERA


296393392_964234371060126_7874422958545744851_n.jpg


296434532_964234367726793_6006009172504551857_n.jpg


296446970_964234364393460_8853027449532120011_n.jpg


295264911_959545798195650_1819519671990440322_n.jpg


294975203_959545801528983_6934339088572110327_n.jpg


295083419_959545794862317_1022773201236783895_n.jpg



Bado una hope cargo ya EACOP kupita Mombasa?
CC: Tony254
 
Mwendazake alikataza mradi wowote wa hotel na conference center nje ya Chato! Nakumbuka huu mradi wa MKICC hata mkandarasi alishapewa kazi kuanza ujenzi.
Sina uhakika MKICC ulifika stage hiyo japo niliona tu render, mbona hata Aga khan University nayo doro na eneo walishapewa kabisa almost a decade now!
 
Sina uhakika MKICC ulifika stage hiyo japo niliona tu render, mbona hata Aga khan University nayo doro na eneo walishapewa kabisa almost a decade now!




Una kingine cha kubisha? Unafananishaje Aga Khan taasisi binafsi na AICC taasisi iliyo chini ya MoFA? Kiufupi Mwendazake alikuwa mtu wa ajabu sana, kusimamisha huu mradi umeiondoa Arusha kwenye radar ya conference tourism!
 




Una kingine cha kubisha? Unafananishaje Aga Khan taasisi binafsi na AICC taasisi iliyo chini ya MoFA? kiufupi Mwendazake alikuwa mtu wa ajabu sana, kusimamisha huu mradi umeiondoa Arusha kwenye radar ya conference tourism!

Walisaini MoU for the designing and construction sio construction, memorandum of understanding is so preliminary leg to implementation of any project, especially MoU for paperwork (designing) na hakuna popote wamesema wamefikia wapi so far!
 
Walisaini MoU for the designing and construction sio construction, memorandum of understanding is so preliminary leg to implementation of any project, especially MoU for paperwork (designing) na hakuna popote wamesema wamefikia wapi so far!
kama nilivyokuambia Magufuli alisimamisha huu mradi akaenda kulazimisha a 4 star hotel Chato!

 
Utawakimbiza wakisingizia uchaguzi



Hong Kong shipbuilder set to deliver tugboats for EACOP Project in Tanga​

by Editor

10/08/2022

in Energy

Hong Kong shipbuilder set to deliver tugboats for EACOP Project in Tanga


Cheoy Lee Shipyards has completed harbour and escort tugs for several international clients over the past three months including Tanzania.

The Hong Kong-headquartered shipbuilder delivered tugs to owners in Africa, New Zealand and the Pacific, while passing a key production milestone on tugs for a domestic owner.

TANGA-PORT.jpg

A view of Tanga Port. The two tugboats are sailed by Redwise from China to Dar es Salaam, Tanzania enroute to Tanga where they will assist ships at an oil export port. Photo/ courtesy

Its latest completions are two 492-gt tugs destined to assist tankers in an export terminal in east Africa. Cheoy Lee’s Hin Lee shipyard in Zhuhai, China built Chongoleani and Tanga Mpya to Robert Allan Ltd (RAL) RAmparts 3200-CL.

Both 32-m tugboats, part of a four-vessel construction order Cheoy Lee is implementing for the Tanzanian Port Authority (TPA), are being sailed by Redwise from China to Dar es Salaam, Tanzania enroute to Tanga where they will assist ships at an oil export port.

According to automatic identification system (AIS) data, both tugs, each with a beam of 12 m, had a stopover at Vung Tau, Vietnam 30 June for fuel and supplies before their voyage across the Indian Ocean.

In the port of Chongoleani, a new tanker terminal has been constructed as the terminus of the East African Crude Oil Pipeline. This 1,445-km pipeline transports crude oil from Hoima in Uganda to Chongoleani in Tanga region.

SOURCE: RIVIERA


296393392_964234371060126_7874422958545744851_n.jpg


296434532_964234367726793_6006009172504551857_n.jpg


296446970_964234364393460_8853027449532120011_n.jpg


295264911_959545798195650_1819519671990440322_n.jpg


294975203_959545801528983_6934339088572110327_n.jpg


295083419_959545794862317_1022773201236783895_n.jpg



Bado una hope cargo ya EACOP kupita Mombasa?
CC: Tony254
 
Back
Top Bottom