7seven
JF-Expert Member
- Mar 27, 2022
- 3,744
- 8,065
Have an evening of your choice guys..., and a fabulous weekend! Adios!




Have an evening of your choice guys..., and a fabulous weekend! Adios!




Kisumu ipambane na madale
99.99%ccmZaidi ya 90% ya wabunge wa Tanzania ni wabunge wa CCM. Hio ni ishara tosha kwamba Magufuli pamoja na mazuri yake aliiba uchaguzi wa 2020.
Sisi tupo tunapiga zoezi huku...tukijiandaa na uchaguzi wenu kama mtaleta fujo tuje kuwachapa na kuwatulizaMimi ni mshamba sana. Sikujua Kenya tuna cable stayed bridge. Hii inaitwaje na iko wapi?
GMO has so many benefits. GMO organisms are nutritionally sufficient just like natural organisms. The only concern with GMO is their instability and this issue has been overcomed so many times.Don't take it personal.
Huo upungufu wa chakula ndio ufanye tulishwe madudu yasiyo na nutrients sahihi? Au unapenda tunapopata magonjwa ya ajabu ajabu ili sekta ya afya iwe na uhakika wa ajira?
Sisi tupo tunapiga zoezi huku...tukijiandaa na uchaguzi wenu kama mtaleta fujo tuje kuwachapa na kuwatuliza
Bring the facts that genetically engineered plants or animals have more nutrients! R nutrient sources produced in laboratories or extracted from the environment!GMO has so many benefits. GMO organisms are nutritionally sufficient as compared to natural organisms. The only concern with GMO is their instability and this issue has been overcomed so many times.
Nikuendelezee video huone namna wanaenda kwenye maporomoko ambayo kdf awezi kupona hata mmojaHuu ni upuuzi mtupu. Aki walahi.

huku wanapishana na mambaWe mtanzania?, halafu Tanzania ni kubwa sana wanasiasa wa upinzani wanabase sana kwenye town kubwa kubwa . Huko remote vijijini ndiko ccm wanakoshinda. Kuna watu wanapenda tu chama huko vijijini hawaangalii sera wala nini? Upinzani inabidi wafanye kazi kwenda interior although late magu alizuia siasa baada ya uchaguzi ikawa pigo kwaoWatanzania tuambiane ukweli. Nampenda Magufuli lakini ukweli wa mambo ni kwamba Magufuli aliiba uchaguzi wa 2020.
You can't claim GMOs are bad yet you are eating genetically modified chicken almost on a daily basis and not forgetting their eggs as well.Don't take it personal.
Huo upungufu wa chakula ndio ufanye tulishwe madudu yasiyo na nutrients sahihi? Au unapenda tunapopata magonjwa ya ajabu ajabu ili sekta ya afya iwe na uhakika wa ajira?
They r native chickens too!You can't claim GMOs are bad yet you are eating genetically modified chicken almost on a daily basis and not forgetting their eggs as well.
Nyamaza, what do you know about genetic engineering?Bring the facts that genetically engineered plants or animals have more nutrients! R nutrient sources produced in laboratories or extracted from the environment!
Ficha ujinga kwa usichojua Kunyaland mnatumia GMO seeds na bado mna njaa as mko dependent kwa seeds companies as once maize is grown the seeds can not germinate again!
Native? Do you really understand yourself?They r native chickens too!
Mmmh!
[mention]Joto la jiwe [/mention] hii imekaaje?
GMO ndio tatizo pekee alilonalo BasheKuna anayejuwa hizo 21 contracts ni zipi, zisije kuwa ni matumizi ya GMO.
Umeongea ukweli, na siku hizi wameamka kweli vitu organic vina bei kubwa lakini ndio vinanunuliwa sanaSina uadui na GMO ila ni matatizo yake kiafya. Nchi walizotengeneza hizo tekinolojia wameanza kuzikataa, na ni baada ya watu kuanza kupata uelewa na kulalamikia viongozi wao vyakula wanavyolishwa.
Sasa wameweka sheria kulazimisha makampuni ya vyakula kuweka lebo ili watu wajue kama hivyo vyakula vina GMO au laa. Wameanza kuona wanabanwa sasa wameanza kuwaletea hayo masumu wakati kwao wanayakataa, joto la jiwe acha ulimbukeni.
View attachment 2315754
View attachment 2315745View attachment 2315746View attachment 2315747View attachment 2315748
nutrients zinatoka kwa ground au the surrounding! Fool unataka kusema GMO isipopandwa ikaota au isipolishwa ikakua itakuwa na nutrients naturally?Nyamaza, what do you know about genetic engineering?
Acha aongee ukweli najua mtahitaji justification, Uganda wanaongozwa na dictator M7 miaka chungu mzima ni yeye tu ndio anajiona anaweza kua raisi, Ethiopia civil wars,S.Sudan failed state,Somalia terrorism backyard lol ofcz you can't compare kenya na hao jamaaMmmh!
[mention]Joto la jiwe [/mention] hii imekaaje?
Yataishaje kama watu hawataki kujielewa uko,Wale vidonge vyao tumadharau kwa wakenya yataisha lini,