Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Sometimes, mtu akiwa smart eneo flan haimaanishi akiongezewa cheo zaid atakuwa smart zaid.. Tanzania sijui tunakwamaga wap kwenye hili, yan mtu akionekana kafanya vizur bas mnampeleka sehem nyingine, na akipelekwa huko kwengine anatumbuliwa..
Mfano mdogo, yule jamaa wa mambo ya Meli, Mr Eric.. alikuwa vizur sana sana huko, kapelekwa kuwa MD wa TPA katumbuliwa juzi, na wengine tu..
Hapo kwa wizara ya kilimo nataka huyu Bashe awe wazir wa kilimo kwa zaid ya miaka 10, nakumbuka niliwah kusema hili..awe wazir wa kilimo at least 10 yrs
Nashauri, mtu akiwa smart eneo flan mweken hapohapo kwa miaka mingi zaid, hizo positions nyingine watafuten watu wengine na sio kuwaondoa hawa wanaofanya vizur na kuwapeleka huko kwengine
Safi sana. Jamaa Eric karudi mahali pake 👍
 
Mzee wa kubisha umefika hehe..
I wanted to reply something ila wacha nisave nguvu niendelee na mambo mengine
Hehe pitien hapa (another day I learn of wacha mda uongee)..
alietoa tender kwa ajili ya ujenzi wa meli kwa kampuni ya briefcase haina shipyard ndo karudi sasa 🇹🇿🇹🇿😘
20220804_194639.jpg
 
His Excellency President Uhuru Kenyatta has flagged off 350 young Kenyan seafers who are joining Celebrity Cruises, a Miami based cruise company.

The President wished the Bandari Maritime Academy trained seafarers success in their new careers and challenged them to be great Kenyan ambassadors wherever they'll be deployed to serve.
FB_IMG_16596337719271312.jpeg
FB_IMG_16596338023913251.jpeg
 
Back
Top Bottom