Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kwani wewe GMOs unazichukuliaje?,
Mbegu hizo na mimea yake zinaondoa uwiano wa asili kwenye eco system na ecology yake, na hii ni kwa viumbe wote toka single celled mpaka multicellular. Ni kweli zinaongeza faida kiuchumi lakini madhara yake ni makubwa sana hapo baadae (buttlerfly effect).
Kama huzipendi ni wewe kwa upande wako
Kwa nini nikae kimya wakati nchi yetu inaharibiwa kwa maslahi ya watu wachache?
 
Vitu ambavyo Dar inavyo na huwezi vipata Africa Mashariki na Kati.

1. Electrifitried SGR.

2. The best cruise ship terminal.

3. BRT system.

4. Three level interchange with six lanes and two dedicated lanes for BRT.

5. The most beautiful and biggest Air port in East and Central Africa.

6. The biggest market in East and Central Africa.

7. Modern and beautiful bus terminals.

8. Modern and beautiful cable stayed bridges.

9. The one and only footbridge with elevator in East and Central Africa.

Ngoja baadaye nitakuja kuongeza mana kuna watu wananisumbua.
Hebu tuonyeshe expressway hapo Tanzania na pia utuonyeshe 8 lane bridge hapo Tanzania.
 
Domestic Market ya Tz iko vizuri sana..
Inagwa tumeorder 737 Max 9 2 ..i think na zenyewe zitasaidia sana kwenye domestic route some days ..

Musoma ,Shinyanga , Iringa , Tanga...coming soon At least Q400 ziwe zinaenda ..Iringa ilikuwa zinaenda ila naona wamefunga airport for Rehab

I think ATC should place orders for more Q400s

and TAA should make sure most airports can operate day and night for better frequencies
Endeleeni kununua ndege kwa wingi kwanza in cash. Mimi nangoja tu kilio na kusaga meno kutoka kwenu. Mnapoteza pesa kwa mambo ya kipuuzi kama kununua ndege in cash ili tu kucompete na KQ. Mtaumia sana. Mark my words. Mtatengeneza losses hadi mshangae. Hii industry haitaki nyege na kimbele mbele.
 
Hii ya no. 2 hebu fafanua cruise ship terminal ipi hiyo? As far as i know Dar haina cruise ship terminal!
The best 007 Dar haina cruise ship terminal.
Ndio hii cruise ship terminal ya Mombasa
download (4).jpeg
 
Amejenga uadui kwa GMO bila hata sababu za msingi, zaidi amesikia maneno ya mitaani, Yale Yale ya Gwajima na chanjo ya Corona.
Sina uadui na GMO ila ni matatizo yake kiafya. Nchi walizotengeneza hizo tekinolojia wameanza kuzikataa, na ni baada ya watu kuanza kupata uelewa na kulalamikia viongozi wao vyakula wanavyolishwa.

Sasa wameweka sheria kulazimisha makampuni ya vyakula kuweka lebo ili watu wajue kama hivyo vyakula vina GMO au laa. Wameanza kuona wanabanwa sasa wameanza kuwaletea hayo masumu wakati kwao wanayakataa, joto la jiwe acha ulimbukeni.


non.JPG


4.JPG
3.JPG
2.JPG
1.JPG
 
Sio Sikh. Akorino ni dini ya Kiafrika. Hii ni dini iliyoanza hapa Afrika. Na mwezi moja uliopita, walisherehekea miaka mia moja tangu kuanzishwa kwa dini hilo Kenya. Wao pia walipigania uhuru wa Kenya wakati wa ukoloni. Tazama video fupi utaelewa.


Cc Geza Ulole.
 
Mbegu hizo na mimea yake zinaondoa uwiano wa asili kwenye eco system na ecology yake, na hii ni kwa viumbe wote toka single celled mpaka multicellular. Ni kweli zinaongeza faida kiuchumi lakini madhara yake ni makubwa sana hapo baadae (buttlerfly effect).

Kwa nini nikae kimya wakati nchi yetu inaharibiwa kwa maslahi ya watu wachache?
GMO ni sayansi Kama ilivyo sayansi zingine, imekua ikitumika kwa muda mrefu katika maeneo mbalimbali.

Genetic Engineering imekua ikitumika katika eneo la "Medicine kutengeneza chanjo mbalimbali na baadhi ya dawa ambazo binadamu na wanyama tumekua tukizitumia, mbona huko husemi Kuna shida?

Duniani tumekua tukitumia mbolea za viwandani ili kurutubisha ardhi kwa ambazo mara nyingi hubadili asili ya udongo wa asili. Dunia kwa muda mrefu tumekua tukitumia dawa za kuulia wadudu katika mimea mashambani, mbona tusizikatae?

Mkuu, hizi research zinafanywa na wasomi wa hali ya juu Sana duniani, lengo lake kuu ni kuboresha maisha na kupata maendeleo ili tutoke hali ya chini na kuwa na hali Bora ya maisha.

Afrika tunabaki nyuma kwa sababu ya kutotoa umuhimu na kuwekeza katika researches, hata research chache zinazofanyika Afrika, viongozi hawapendi kuzitumia kutokana na sababu nyingi, mojawapo ni Imani Kama hizo zako.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom