Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wakunya naomba tupange battle kati ya Dodoma na fyatu estate kwenye sector ya elimu tu kisha baadae afya, naomba tukubaliane haraka nianze kazi sasahivi
Hakuna battle kati ya jiji na kijiji, wameongea maneno mengi ya kipumbavu tumeanza battle wamekimbia wote, Dom City hivi hivi ilivyo huwezi linganisha na mji mchafu na mkongwe kama ka Nairobi au Dsm kwa mpangilio ila miaka michache ijayo itakuwa huwezi linganisha Dom na mji mchafu na mkongwe kama ka Nairobi au Dar kwa kila kitu.
 
Timu za Bongo zina mashabiki mpaka ughaibuni huko, Tokyo Japan.
FB_IMG_16588662482566962.jpg
 
Staphylococcus aureus. Next question?
Hahahaha, is hypertension communicable disease?[emoji23][emoji23][emoji23]. Wewe ni lab technician, tena wa level ye "Certificate", hujui lolote wacha kutupotezea muda.

Weka "link" inayoeleza kwamba high blood pressure husababishwa na bacteria, Elimu yenu ni ujinga mtupu[emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Hakuna battle kati ya jiji na kijiji, wameongea maneno mengi ya kipumbavu tumeanza battle wamekimbia wote, Dom City hivi hivi ilivyo huwezi linganisha na mji mchafu na mkongwe kama ka Nairobi au Dsm kwa mpangilio ila miaka michache ijayo itakuwa huwezi linganisha Dom na mji mchafu na mkongwe kama ka Nairobi au Dar kwa kila kitu.
Sahihi kabisa mkuu
 
Dah hii serikali inajua kucheza na beberu eti watu million 12 [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Hata million 2 waliochanja hawafiki
Mkuu, Sasa tukianza kupingana na serikali bila kuwa na "alternative statistics" tutafika kweli?, Hao wawakilishi wa WHO wanajua ukweli kukuzidi wewe.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Wengi wao waliochanja ni wale ambao hawana namna hasa wanaosafiri nje ya nchi.
Mkuu, watanzania wanachanja kwa wingi Sana, tembelea katika sehemu zinazotolewa hizo chanjo na uombe kupewa "records" ujionee, bahati nzuri wanaotoa hizo chanjo ni jamaa zetu tunaishi nao mitaani.

Sasa hivi husikii Sana habari za maambukizi mapya duniani, hiyo ni dalili kwamba chanjo imeanza kufanya kazi, sio bahati nasibu kwa ugonjwa ambao kwa siku Moja ulikua unaua mamilioni ya watu kwa mwezi, ghafla imeanza kutoweka duniani.

Tuendeleeni kuchanja ili huu ugonjwa utoweke kabisa duniani, ili tuendelee kushughulika na ugonjwa wetu wa starehe[emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Hahahaha, is hypertension communicable disease?[emoji23][emoji23][emoji23]. Wewe ni lab technician, tena wa level ye "Certificate", hujui lolote wacha kutupotezea muda.

Weka "link" inayoeleza kwamba high blood pressure husababishwa na bacteria, Elimu yenu ni ujinga mtupu[emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Screenshot_20220727-081123_Chrome.jpg
 
Hahahaha, is hypertension communicable disease?[emoji23][emoji23][emoji23]. Wewe ni lab technician, tena wa level ye "Certificate", hujui lolote wacha kutupotezea muda.

Weka "link" inayoeleza kwamba high blood pressure husababishwa na bacteria, Elimu yenu ni ujinga mtupu[emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
The problem with you is that you think you know everything but you know nothing.

Screenshot_20220727-081540_1.jpg
Screenshot_20220727-081612_1.jpg
 
Leave that guy alone. Ukiona mtu ameanza matusi just leave him alone. It is impossible to debate with such a person.
Hiyo story nilimaliza., we move forward, positive energy muhimu, thanks.
 
Under construction DODOMA
Screenshot_20220727-074708_1.jpg
dodoma_zone__1658754004612205.jpg
dodoma_zone__1658754004611215.jpg

Ukiachana na hii center mpya ☝️ ambayo kwasasa inapokea construction boom bado DOM Iko na old Center yake 👇ambayo nayo pia kwasasa inapokea ujenzi mkubwa wa high rise buildings 👇

9TR-01-1.jpg
and this is the reason huwa nasema Dodoma ikimaliza ujenzi wake itakua na three CBDs Don YF. Hizi centers mbili zote hapo juu ni kando na DODOMA new government City

Yani hapa 👇. Hii miradi yote mingine;-

1.chinangali recreational park
2😀om outer ring road
3😀om international airport
4: Indoor Arena
5:NHC 1000 HOUSES
6:TBA 3500 HOUSES
7:KONGANI YA VIWANDA NALA
8😀OM BUS TERMINAL
9: DOM market
N.k ..

Hii miradi ikikamilika yote sioni comparison ya Dom na mji wowote hapa Tz kando ya DAR hapo kwenu ni Nairobi tu yenye itaweza tajika juu ya DODOMA otherwise hakuna .. ndio nishangazwe na wewe unaetaka kuilinganisha DODOMA na mradi wa nyumba kadhaa kwenye empty field kwa jina la tatu City, hii inaudhi sana
 
Back
Top Bottom