Wewe ni mpuuzi Kama kawaida, debate" ilikua kwamba NALA ni kampuni la Kenya au Tanzania?, hiyo habari ya kwamba customers wengi kuwa wakenya ni lazima iwe hivyo kwasababu wakenya ndio wanaotuma pesa nyingi Nyumbani ili kusaidia kugharimia umasikini huko Kenya, kwetu hilo tunafurahi Kama mnavyo support Bongo flava, hiyo ni faida kwa Tanzania.
You buy our goods, food, NALA services, Music, and many others, thank you very much for your support[emoji23][emoji23][emoji23]
Sent from my itel L5007 using
JamiiForums mobile app