Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Save Nairobi from the chronic stinking [emoji28][emoji28][emoji28]

Mbona hawa mbwaa kipindi cha JPM walianza kujitaidi kuwa wasafi hadi kuweka vitofari kwenye njia za watembea kwa miguu na kujenga vistendi vya basi angarau vinapendeza ila sasa mambo yamebadilika wamerudi kwenye uchafu wa kutisha Tony254 MK254 ,komora096 Nicxie
 
Tony254 nakuona , tajiri wa maunga Kenya 😀😀😀😀
Kama vile wazungu hufanyaga cheese race ambapo wana roll a huge chunk of cheese downhill halafu wanaanza kuikimbiza anayeipata kwanza anaondoka nayo home same with our northern neighbours ila wao wanafanya na ugali kama ambavyo mmeona ile picha jamaa kabeba ugali begani [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
😂😂😂😂

Hata wangekua na uwezo wa kumudu vyakula vingine vitawashinda sababu hawajui kupika 😂😂😂

Ndizi na viazi hawajui kabisa kabisa, seafoods ndio kitendawili 😅😅😅

dyfre hapa hata wale Macdonald mnaowashabikia hawaoni ndani!


View attachment 2297409View attachment 2297410
mngalijua tu kuna sehemu ata hio ugali ama unga, kuna wakenya hawaitambui. ugali huko itakua ni kitu geni sana
Screenshot_20220720-092934_Chrome.jpg
Screenshot_20220720-093004_Chrome.jpg
Screenshot_20220720-093113_Chrome.jpg
Screenshot_20220720-093129_Chrome.jpg
Screenshot_20220720-093646_Chrome.jpg
Screenshot_20220720-093616_Chrome.jpg
Screenshot_20220720-093432_Chrome.jpg
Screenshot_20220720-093452_Chrome.jpg
Screenshot_20220720-093533_Chrome.jpg
Screenshot_20220720-093711_Chrome.jpg
Screenshot_20220720-093732_Chrome.jpg
Screenshot_20220720-093826_Chrome.jpg
 
Hahaha ukiacha mbali upishi wa chakula anachokula hasa mboga (hiyo kwa Tanzania ni supu watu wenye hangovers wanakunywa Asubuhi na sio mboga sababu ipo plain)

Kingine ni hivyo vyombo vya chakula [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] vilitumika Tanzania 1940s, zunguka Tanzania nzima hutoviona isipokua Magereza [emoji28][emoji28][emoji28]

View attachment 2297375
Mimi huwa najiuliza sana ili swali ...kama maisha ya mkenya wa sasa hivi 2022 ni sawa sawa na maisha ya mtz wa 1990 je maisha ya wakenya ya mwaka 1990 yalikuwaje ...
 
Hivi huyu mpumbavu ni lini ataanza kufuatilia miradi ya kumikakati ili kutia nguvu na moyo ikamilike kwa wakati sembuse kubuni miradi mipya ya kimikakati ...yaani yeye ni kushikana shikana mikono tu na kupiga picha basi
 
Hivi huyu mpumbavu ni lini ataanza kufuatilia miradi ya kumikakati ili kutia nguvu na moyo ikamilike kwa wakati sembuse kubuni miradi mipya ya kimikakati ...yaani yeye ni kushikana shikana mikono tu na kupiga picha basi
ya kusukuma wiki
kenya-food-meat-stew-ugali-and-sukuma-wiki.jpg
 
Yaani ninyi kwenye kupika bado Sana 😅😅😅 sasa hiki chakula anakula binadamu au mbwa?

Mifupa yote hii ya kazi gani kwenye food for human consumption? Tanzania ni steak tu huwezi kuta hii kitu na ukiwawekea hivi watakususia, watu wanatakiwa wale kwa kurelax na kijiko na sio kupambana na mafupa ya dogi mezani, itakua vita hiyo sio eating 😅😅😅😅 akitoka hapo mikono yote mafuta na kula mpaka akunje shati 😅😅😅

Screenshot_20220720-094647.png
 
Yaani ninyi kwenye kupika bado Sana 😅😅😅 sasa hiki chakula anakula binadamu au mbwa?

Mifupa yote hii ya kazi gani kwenye food for human consumption? Tanzania ni steak tu huwezi kuta hii kitu na ukiwawekea hivi watakususia, watu wanatakiwa wale kwa kurelax nakijiko na sio kupambana na mafupa ya dogi mezani, itakua vita hiyo sio eating 😅😅😅😅

View attachment 2297436
Hizi ni nini Mkuu ? au wanajiandaa kuunga 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣.
 
Vyakula vyote hivi vinatoka Tz, cku Tz ikisema haiuzi kitu Kenya wallahi mnakufa siku mbili tu. Au kama Tz ikatokea ukame wa kutisha juwa kwamba nchi ya kwanza kuathirika ni Kenya mana hawa malazy hakuna chakula wanazalisha, chakula chote kinatoka Tz, tunawalisha kwa kila kitu.
 
Vyakula vyote hivi vinatoka Tz, cku Tz ikisema haiuzi kitu Kenya wallahi mnakufa siku mbili tu. Au kama Tz ikatokea ukame wa kutisha juwa kwamba nchi ya kwanza kuathirika ni Kenya mana hawa malazy hakuna chakula wanazalisha, chakula chote kinatoka Tz, tunawalisha kwa kila kitu.
😆😆😆😆 Tony, Don YF na KENPAULITE, heb njooni hapa mumskize huyu fala
 
Njengere unaita ndengu?
😅😅😅😅 Dah aisee sasa njegere gani Nyeusi? Au ninyi mnapika njegere zikiwa kwenye stage gani?

Tanzania njegere hupikwa ikiwa ya Kijani kabisa, zikibadilika rangi zinatupwa, Huwezi kupiga njegere kama sio ya Kijani na huku zipo kwenye kundi la vegetables

Ukitaka kuzipata kwa haraka sema beans mostly hupikwa kwenye wali

images - 2022-07-20T101549.775.jpeg
images - 2022-07-20T101418.717.jpeg
 
😂😂😂😂

Hata wangekua na uwezo wa kumudu vyakula vingine vitawashinda sababu hawajui kupika 😂😂😂

Ndizi na viazi hawajui kabisa kabisa, seafoods ndio kitendawili 😅😅😅

dyfre hapa hata wale Macdonald mnaowashabikia hawaoni ndani!


View attachment 2297409View attachment 2297410
yaak!🤮 chips ina nyakati zake na wala sio mlo bali snack.

chips ni chakula ya kitoto sana huku.

kisha bongo chips na mayai iko very popular kwenye mitaa, whereas huku ni chapati madondo
🤮🤮
Screenshot_20220720-102313_Chrome.jpg
 
Back
Top Bottom