Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

dar es salaam
 

Attachments

  • image_9a5e5cbd-4471-4a60-ba8f-ab4f6767192a20170916_210832.jpg
    image_9a5e5cbd-4471-4a60-ba8f-ab4f6767192a20170916_210832.jpg
    75.6 KB · Views: 35
kila niikiitazama hii picha,najihisi kujaa furaha na amani tele rohoni mwangu.

i love you so much dar es salaam.
salute to the photographer behind it.
a1b7c34a8a87abacd367401cf6f5544a.jpg
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
sasa hapa ni nini inakufurahisha?? smh the mediocrity displayed by Tanzanians is wanting
 
Simunamsikia huyu jamani kenya imeachwa na wakoloni ikiwa na maendeleo leo unatuambia mambo ya kibaki
Hebu try to be serious😀😀😀😀😀😀
huwa nikisoma comments zako nakuona ni kama una mtindio wa ubongo vile..sio bure.na comment kama hii ndio inahakikisha hilo
 
naomba haiwesmek hapa Kenya. ......leta food within 2 minutes ama tukuwachie hiyo food yako.ama vipi fellow Kenyans. ..

in Kenya we call each other "boss" ama "mzito" as a sign of mutual respect and that's as far as it goes.


you can just say "boss hebu leta chap chap".....
 
naomba haiwesmek hapa Kenya. ......leta food within 2 minutes ama tukuwachie hiyo food yako.ama vipi fellow Kenyans. ..

in Kenya we call each other "boss" ama "mzito" as a sign of mutual respect and that's as far as it goes.


you can just say "boss hebu leta chap chap".....
kabisa.....unaingia hotel na unamwambia waiter leta food..si unalipia, kwani anakupea bure ndio uombe?akichelewa una enda hotel ingine na ye mwenyewe ata understand sio makosa yako.ni yake
 
kabisa.....unaingia hotel na unamwambia waiter leta food..si unalipia, kwani anakupea bure ndio uombe?akichelewa una enda hotel ingine na ye mwenyewe ata understand sio makosa yako.ni yake
Shida sio kuchelewesha, wahudumu wa hapa hawacheleweshi hata kidogo, labda kile unachokuta kinapikwa kwa mahitaji maalum (mnaita order) hapo atakuomba usubiri kwa mda kitakaokuwa tayari!
 
moi alijua kuunganisha nchi na kufanya maisha kuwa rahisi lakini maendeleo yake ndani ya 24 years was so minimal. Kibaki aliingia na kufanya maendeleo makubwa sana kwa mabarabara,elimu ,airport expansions and development na port expansion. Of course with the help of Raila.
Hata slum upgrading program ilianza kutekelezwa.Uhuruto wameendeleza kazi hiyo na bado itaendelezwa as per the vision 2030 blue print that must be implemented by any incoming government
Kulingana na maelezo yako nafkiri kenya ingekua zaidi ya south africa lakin nachoskitika baadhi ya maelezo yako naona yamebakia kama ndoto za alinacha 😛😛😛
Asante kwa povu kubwa sana
 
Back
Top Bottom