Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Sasa lini ironic language na euphemisms zikawa kwenye formal language? That's normal to any language to have such behaviors tena kiswahili cha kibongo ndio hamuambuliagi neno hata moja nimeshafanya research kwenu wakenya.

Nikileta wimbo wa zigo (AY) na Muziki (Darasa) hakuna mkenya hata mmoja ataweza kunitafsiria yale maneno zaidi ya machache ya English
Kiswahili cha Bongo ni rahisi kuelewa. Lakini the word kuambuliagi ni jipya kwangu.
 
huo ndio ukweli,ilitakiwa nairobi kwa sasa ipambane na capetown au johannesburg.

lakini kwa kuwa bado nairobi ipo nyuma kimaendeo,mpaka leo bado inatolewa jasho na dar,jiji ambalo limeanza kujengeka miaka michache tu iliyopita.big shame.


I am sure Nairobi can and will never miss in the top 5 most developed African cities but as usual the jealous ldc dwellers south will have issues. but we don't give a ***. ...we need haters too....
 
Maze madonda na ma dere wameuma nare design ya fyam juu ya hii plan ya Sonko. .........
nacheki
itakuwa ngori sana wasee wataingiza wira kama wamebeat mbayaaa...

....sheng rocks. ...
 
Maze madonda na ma dere wameuma nare design ya fyam juu ya hii plan ya Sonko. .........
nacheki
itakuwa ngori sana wasee wataingiza wira kama wamebeat mbayaaa...

....sheng rocks. ...
Manze hio risto ni noma jo, though pia inaeza chatisha stori ya BRT au LRT ju sa lazima kuwe na plan B, kubebesha wadhii CBD.
So Kwangu hio fom ya Sonko ni chwani chwani... Kwa
Arif wetu madere of course zae... Acha tuskize kina Kimutai (matatu association) watadaishaje
 
understanding bongo is so easy....that's why I like bongo music. only that you shrub in the L and R
Hahaha L and R sio saw swag au slang stuff mzee, L and R ni common effects from the mother tongue, ukiona mtu kwenye R anaweka L ujue kwenye lugha ya mama yake hakuna R kwenye maneno yao yote and vice versa.

Kuna wengine pia kwenye G wanaweka K badala ya PIGA wanasema PIKA vilevile kuna wengine kwenye J wanaweka CH badala ya kusema JUICE wanasema CHUICE na wengine kwenye M wanaweka N mfano MTWARA wanasema NTWARA and so many more.

Watu wengi wa maeneo ya kanda ya ziwa na nyanda za juu kusini kama Mbeya, Iringa ndio wenye R badala ya L (daladala - daradara), Tabora kushuka kanda ya kati mpaka Pwani Tanga wanasema L badala ya R (rudi dirishani - ludi dilishani)
 
Manze hio risto ni noma jo, though pia inaeza chatisha stori ya BRT au LRT ju sa lazima kuwe na plan B, kubebesha wadhii CBD.
So Kwangu hio fom ya Sonko ni chwani chwani... Kwa
Arif wetu madere of course zae... Acha tuskize kina Kimutai (matatu association) watadaishaje
Hapa kuna maneno ya slang ya kaskazini mwa Tanzania hasa Arusha na Moshi mnayatumia hasa neno "arif"

Arusha nao wanayo slang yao ambayo watu wa maeneo mengine hatuambulii chochote wakiamua kuitumia thoroughly
 
bongo
62599322.jpg
 
Hapa kuna maneno ya slang ya kaskazini mwa Tanzania hasa Arusha na Moshi mnayatumia hasa neno "arif"

Arusha nao wanayo slang yao ambayo watu wa maeneo mengine hatuambulii chochote wakiamua kuitumia thoroughly
umesahau arusha imepakana na kenya?
Wachaga wamejaa nairobi na nakuru sana.
 
Back
Top Bottom