Mto Nile umepita katikati ya Egypt, lakini ndani ya eneo linalozunguka huo mto lisilozidi zidi 100km kuliko na kushoto wamewekeza katika kilimo cha umwagiliaji wa wanalisha raia wao wote ambayo idadi Yao ni zaidi ya mara mbili ya wakenya.
Kwanini Kenya msitumie maji ya ziwa Victoria ambayo ndiyo mengi kuliko ya mto Nile kuzalisha chakula?.
Kama Tanzania tumeweza kuyasafirisha maji toka ziwa Victoria hadi katikati ya Tanzania pamoja na kwamba hali ya ukame huko sio mbaya Kama Ile ya Turkana, iweje ninyi wenye hali mbaya ya ukame na uchumi mkubwa zaidi mnashindwa?
Sent from my itel L5007 using
JamiiForums mobile app