Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

And humans did not put them there as in the case with yours. By the way these are collected everyday cause we have a functioning garbage collection system in Dar.
So the ocean gave birth to that trash. That's what you telling us!
 
Uchumi wa Tz kama utaangalia investment iliyofanya kwa hii miaka 10 kuja juu sio tu ni $67b wala $77b ni zaidi ya hapo maradufu, wewe wala isikuumize mana hata cc Watz haituumizi labda Watz wapumbavu wanaojali makaratasi kama Wakenya, cc tunachofurahi ni kwamba tunafanya miradi yenye thamani kubwa kuliko miradi inayofanywa na nchi zote EA combined na hili bomu lazima lilipuke whether World Bank or IMF accepts it or not.
Hii argument yako yenye huwa una peg kwa value ya miradi ni uchwara sana mjukuu😂😂😂😂😂😂, so far kwa hiyo value ya miradi ni pesa ngapi imetumika hadi sasa tulinganishe? uone vile wewe ni empty bakuli 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 kuna tofauti ya kukua na plans yenye bei kubwa na pesa kamili mikononi, nyie ni fukara wacha kujitekenya.., SGR km mia mbili kukamilisha imewachukua hii miaka yote so hayo miprojects unaimba hapa si nyote mtakufa kabla ya kamilike msipo kopa? kwa vile mko na uchumi hafifu sana, hamuna muscles ya kukamilisha kwa wakati., tafuta mikopo ama ppp, la sivyo utaendelea kutuimbia pambio humu na ndoto za alinacha, wacha nikucheke😂😂😂😂😂😂😂
 
Yes those cities have zoos even Dar has one so don't compare cities with zoos and city with a bush for wild animals.
And that's what makes it stand out. The only one of its kind in the world. I know that's the part that hurts you the most. You'll find zoos in different cities in the world but you'll NEVER find an equivalent of Nairobi national park anywhere else in the world!
 
Tony you are confusing these things. World Bank just released data for last year but IMF released projections for this year. Those are two different years. You have to wait for next year's data from WB to see if there's much variance between the two.
what about yours and Ghana's mbona WB washafananisha na projections
 
Hiyo GDP ya Tz imeganda hapo kwa mwaka wa kumi sasa na wala hatuna shida nayo as long as GDP sio maendeleo basi wacha ikae hapo hapo ila on ground ndio mtajua cc ni kina nani [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Niko hapa kuumbua uongo wako, GDP ya Tanzania miaka kumi iliyo pita 👇 👇 👇 , kilaza kwa kujitekenya hujambo 😂 😂 😂 😂 😂., mbona sioni hiyo $67B???..,
1657612413842.png

eti imekua hivyo miaka kumi, na kuna many factors proving your GDP iko between hiyo $67B na $77B..,😂😂😂😂😂😂
 
Wewe ni mjinga sana. Hizi tabia zenu za kukana kila kitu mtaacha lini?

Unasema hiyo ni picha ya kitambo wakati hilo jengo la Mzizima Towers is clearly visible in the middle of the pic and we all know hadi kufika sasa bado ujenzi haujaisha. Sasa inakuwaje tena ya kitambo bongolala?
Huyo ni propaganda peddler hapa na wishful thinker, a day dreamer😂😂😂 facts ni kiboko yake 😂 😂 😂 😂 😂
 
Wewe joto la jiwe ndio mtu mwenye wivu kali sana dhidi ya Kenya kwenye uzi huu. Unakumbuka ile siku nilisema kwamba Kenya inaexport black tea worth $1 billion ukanipinga kwa ukali mwingi ukisema kwamba Kenya hatupandi majani chai kwamba Kenya tunapokea majani chai kutoka nchi jirani? Sasa tazama hii video kama una bundles ndio utajua ukanda huu hakuna nchi inapanda majani chai kutushinda.
Nimeona, lakini bado haithibitishi kwamba Kenya pekee inazalisha chai ya $1B per year.

Kuhusu Mimi kupinga uwezo wenu wa kuzalisha chai yenye thamani kubwa, hapo sijawashambulia au kushawishi watu wengine waichukie Kenya, wakati ninyi wakenya huwa mnaongoza na kuwashawishi watu au nchi zingine zichukie Tanzania.

Ukweli hii tabia yenu ya kutupakazia na kujaribu kutuchafua mara kwa mara Kama mlivyofanya ktk kipindi cha Corona, lile la dada wa Nigeria kule Zanzibar na kule Ngorongoro, ndivyo chuki Kati ya Kenya na Tanzania inavyozidi kuongezeka.

Sikufichi na Wala sitaki kuwa mnafiki katika hili, kutokana na vitendo vyenu vya kutukandamiza na kutaka kutudhalilisha kila kunapotokea tatizo huku Tanzania, chuki dhidi ya Kenya imeongezeka Sana, ombi langu kubwa kwa Sasa ni kuona mnachinjana katika uchaguzi unaokuja

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
I love that you’re also fascinated by the cosmos. And I also appreciate the time you’ve put to write all this info, but I’m well aware of it.

As you’ve mentioned, the universe is unimaginably vast! And that’s why we measure the distance of celestial objects in Light Years. A light year is a distance that light travels in one year. The sun is approximately 8.3 light minutes away from Earth. So, it takes light from the sun 8.3 minutes to reach our eyes. Thus, we see the sun as it was 8.3 minutes ago!

Now imagine objects that are millions of light years away. For example, the closest spiral galaxy to ours (the Milkyway) is Andromeda, which lies about 2.5 million light years from Earth. That means, it’s taken light from Andromeda 2.5 million years to reach earth. So when we view the galaxy using our telescopes, we see it as it appeared 2.5 million years ago.

The deep space image by Webb is an interesting one. It shows the galaxy cluster SMACS 0723 as it appeared 4.6 billion years ago, according to NASA. The thing about galaxies is that they’re always in motion, and the universe is also expanding. In 4 to 5 billion years, the Milkyway and Andromeda Galaxies will collide. So, their shapes will no longer be recognizable.

The same applies for what the picture shows. We see the cluster as it appeared in the past, 4.6 billion years ago. Today, it looks very different!
Science is so fascinating and mind boggling as well. I think the information that scientists have gathered about the universe so far is not even a half of what it really has to offer. Millions of years after we are dead, there will be even more interesting revelations about the universe that will be perplexing and unimaginable!
 
Nimeona, lakini bado haithibitishi kwamba Kenya pekee inazalisha chai ya $1B per year.

Kuhusu Mimi kupinga uwezo wenu wa kuzalisha chai yenye thamani kubwa, hapo sijawashambulia au lushawishi watu wengine waichukie Kenya, wakati ninyi wakenya huwa mnaongoza na kuwashawishi watu au nchi zingine zichukie Tanzania.

Ukweli hii tabia yenu ya kutupakazia na kujaribu kutuchafua mara kwa mara Kama mlivyofanya ktk kipindi cha Corona, lile la dada wa Nigeria kule Zanzibar na kule Ngorongoro, ndivyo chuki Kati ya Kenya na Tanzania inavyozidi kuongezeka.

Sikufichi na Wala sitaki kuwa mnafiki katika hili, kutokana na vitendo vyenu vya lutukandamiza na kutaka kutudhalilisha kila kunapotokea tatizo huku Tanzania, chuki dhidi ya Kenya imeongezeka Sana, ombi langu kubwa kwa Sasa ni kuona mnachinjana katika uchaguzi unaokuja

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Aisee sikujua una roho mbaya hivyo.
 
Nimeona, lakini bado haithibitishi kwamba Kenya pekee inazalisha chai ya $1B per year.

Kuhusu Mimi kupinga uwezo wenu wa kuzalisha chai yenye thamani kubwa, hapo sijawashambulia au lushawishi watu wengine waichukie Kenya, wakati ninyi wakenya huwa mnaongoza na kuwashawishi watu au nchi zingine zichukie Tanzania.

Ukweli hii tabia yenu ya kutupakazia na kujaribu kutuchafua mara kwa mara Kama mlivyofanya ktk kipindi cha Corona, lile la dada wa Nigeria kule Zanzibar na kule Ngorongoro, ndivyo chuki Kati ya Kenya na Tanzania inavyozidi kuongezeka.

Sikufichi na Wala sitaki kuwa mnafiki katika hili, kutokana na vitendo vyenu vya lutukandamiza na kutaka kutudhalilisha kila kunapotokea tatizo huku Tanzania, chuki dhidi ya Kenya imeongezeka Sana, ombi langu kubwa kwa Sasa ni kuona mnachinjana katika uchaguzi unaokuja

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Hizi chuki zako zingekuwa zinatranslate kuwa baraka kwa nchi yako, Tanzania ingekuwa imeendelea sana. Too bad it doesn't na number bado mnasoma 😂😂
 
Dodoma sio kukame kama Kaskazini mwa Kenya.
Hapo ndipo unapokosea Tony, Mimi nilitegemea ungeuliza ni kitu gani kimefanyika Dodoma ili kupunguza athari ya ukame, wewe bado unataka kuonyesha upinzani na kuonyesha Kenya is always a victim and nothing it can do

1)TukisemaTanzania tumeweza kuwadhibiti terrorist kutoka Mozambique kuishambulia Tanzania, mnasema hao sio sawa na Alshabab
2)Tukisema tunaweza kuzalisha chakula cha kutosha, mnasema huko ni jangwa ndio sababu mnakufa kwa njaa
3)Kwanini sisi tunajenga reli ya umeme "cheaper" kuliko ninyi, eti kwasababu Tanzania ardhi ya serikali.

Badilikeni muanze kujifunza kutoka kwa waliofanikiwa., Sio lazima ukame wa Dodoma na Turkana ufanane, lakini ni lazima ukubali kwamba uwekezaji mkubwa umefanyoka Dodoma kupambana na Ukame, na hivi Sasa mifumo ya maji toka ziwa Victoria ipo mbioni kufika Dodoma, 700km away from Mwanza.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Hakuna sababu ya Tanzania kuwa masikini. Hakuna.
Hata Kenya hakuna sababu ya kuwa masikini kwa kisingizio cha Jangwa, Egypt 98% ni jangwa lakini ni wazalishaji wakubwa wa Michele. Sio lazima kilimo

Kenya Kuna bandari, Kuna ziwa Victoria, Kuna skilled labour, Kuna ardhi ya kutosha kwa uzalishaji wa viwanda, Kuna mafuta ya kutosha, vipi mnakufa kwa njaa?

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Nilikuwa sijaielewa plan ya hii BRT kwenye road ila sasa nimeelewa vizuri....kumbe sehemu za vituo hawakuweka pavements meaning the bus will go direct kuja kituoni kwa pembeni
Mmm hatari Sana hiyo na time wasting hope watakuja kushape vituo,shida mwanzo wa ujenzi hawakudesign BRT stations.
 
Back
Top Bottom