Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kenya haiwezi kufanya uchaguzi bila watu kupoteza maisha, Wala msitafute visingizio, mkipigana au msipopigana, wahusika wakuu ni ninyi wenyewe, sisi hata tukiwaombea mazuri lakini ninyi wenyewe mkiendeleza ukabila haiwezi kuwasaidia

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Ukubali ukatae tunaenda kuandika historia EAC kwa kura za amani kabisa kuwai kutokea. Mpaka sasa hakuna mtu amelazwa hospitali achilia mbali kuuliwa kwa sababu ya siasa.
Wakenya sahivi tumekomaa sana kisiasa, hizo chuki tumewaachia nyinyi muendelee kupigana marisasi mpaka nyote muishe.
Vitu ambavyo kenya tuna vichukulia kama vya kawaida kama billboards au free speech tanzania ni anasa kubwa sana.

Licha ya kua katika campaign period, uchumi wetu ndo unakua kwa kasi kuliko nchi zote EAC, watalii wanafurika furi furi, miradi inazinduliwa/endelea kila kona etc aisee we have matured bana.
 
Ila umeme umewachanganya
1657528223876.png
 
Ukubali ukatae tunaenda kuandika historia EAC kwa kura za amani kabisa kuwai kutokea. Mpaka sasa hakuna mtu amelazwa hospitali achilia mbali kuuliwa kwa sababu ya siasa.
Wakenya sahivi tumekomaa sana kisiasa, hizo chuki tumewaachia nyinyi muendelee kupigana marisasi mpaka nyote muishe.
Vitu ambavyo kenya tuna vichukulia kama vya kawaida kama billboards au free speech tanzania ni anasa kubwa sana.

Licha ya kua katika campaign period, uchumi wetu ndo unakua kwa kasi kuliko nchi zote EAC, watalii wanafurika furi furi, miradi inazinduliwa/endelea kila kona etc aisee we have matured bana.
Wewe unaota nini, Kenya kila kitu ni hovyo hivi Sasa, watu wameanza kuingia barabarani kuandamana kwa sababu ya njaa, Tanzania tunapokea watalii mara nne zaidi yaKenya,
Tanzania Beats Kenya in Best Travel Destinations [LIST]
kwenye Demokrasia huko ndio tumewawacha sana Democracy Countries 2022
Endeleeni kujidanganya, Kenya hamuwezi kutufikia ktk Demokrasia, ninyi kwenu ni ukabila tu ndio unawaongoza

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Kwa kuanzia 160km/hr, ila mpango ni 340 km/hr.
OPERATING SPEED ya diesel-electric trains za Kenya ni 120km/hr. DESIGN SPEED ya sgr kenya ni 220km/hr+ ikiwa electrified na electric trains. Nafasi ya kueka nyaya za stima tayari ipo kwenye tunnels na viaducts. Chinese Class one standard sgr 🇰🇪
DESIGN+OPERATING SPEED ya SGR ya Danganyika ni 160km/hr max ikiwa electrified na electric trains 😂😂😂. Haitawahi pita hapo. Turkey AREMA standards sgr 🇹🇿
 
OPERATING SPEED ya diesel-electric trains za Kenya ni 120km/hr. DESIGN SPEED ya sgr kenya ni 220km/hr+ ikiwa electrified na electric trains. Nafasi ya kueka nyaya za stima tayari ipo kwenye tunnels na viaducts. Chinese Class one standard sgr 🇰🇪
DESIGN SPEED ya SGR ya Danganyika ni 160km/hr max ikiwa electrified na electric trains 😂😂😂. Haitawahi pita hapo. Turkey AREMA standards sgr 🇹🇿
Umeambiwa SGR ya TZ sio expendable in terms of speed???? Wasiwasi wetu hupo kwenye hizo Old school locomotovies, tunajua mkijaribu hata 121 km/hr tutaletewa breaking news na The Citizen TV😁😁😁
 
Umeambiwa SGR ya TZ sio expendable in terms of speed???? Wasiwasi wetu hupo kwenye hizo Old school locomotovies, tunajua mkijaribu hata 121 km/hr tutaletewa breaking news na The Citizen TV😁😁😁
Haiwezi kua expanded, kwani mtatumia nuclear trains ndio speed iongezeke?
 
Ukubali ukatae tunaenda kuandika historia EAC kwa kura za amani kabisa kuwai kutokea. Mpaka sasa hakuna mtu amelazwa hospitali achilia mbali kuuliwa kwa sababu ya siasa.
Wakenya sahivi tumekomaa sana kisiasa, hizo chuki tumewaachia nyinyi muendelee kupigana marisasi mpaka nyote muishe.
Vitu ambavyo kenya tuna vichukulia kama vya kawaida kama billboards au free speech tanzania ni anasa kubwa sana.

Licha ya kua katika campaign period, uchumi wetu ndo unakua kwa kasi kuliko nchi zote EAC, watalii wanafurika furi furi, miradi inazinduliwa/endelea kila kona etc aisee we have matured bana.
 
Back
Top Bottom