Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Utakula kichapo cha paka mwizi, leta zile shule zenyu
Wacha vitisho, nimekuambia nakunyorosha na South C kwa lower middle class.

Image
 
🤣🤣🤣 Unaweza leta vyanzo vyenu vya umeme na MW zenye mnazalisha, nikufundishe kitu.?
Unataka kunifundisha nini bongolala? Jifunze kwanza kupeleka umeme kwa wananchi wenu. 39% ni aibu. Sasa umebaki ukitapatapa tu
 
Anataka kutuconvince eti hizo leaking rust roof dens zina choo nje are better. 🤣 🤣 🤣
By the way zile uswazi sprawls unaona Dar zinashare choo na bafu za nje. A very backward city
 
By the way zile uswazi sprawls unaona Dar zinashare choo na bafu za nje. A very backward city
🤣🤣🤣 Kwani Dar Iko na Uswazi tu.? Brathee, Usisahau kwamba Dar is home of
1. Upanga
2. Mikocheni
3. Mbezi beach
4. Salasala
5. Mbweni
6 .Goba
7. Kigamboni
8. Kawe

Haya maeneo yote yana host midle class mzee wangu
 
Watu wa south wanaona streetlight na higmast lighting hukaa, hizi kwao ni rare
KENPAULITE anasema eti mataa kama hizi bongo, ni nakala na hafifu sana. hajawai ona, in other words.. bongo hakuna mataa ka hizi hapa. HighMastlighting.. na venye zimetapakaa huku katika kila mji ata hadi village centers kule mashinani...
hizi kwa mtaa yetu, tunaziitaga NuclearAtomicLighting. yani moja tu ama mbili hivi, inafyeka estate mzima. hizi nivitu ziko tu kenya na SA na egypt, nimefanya utafiti

nb: huku kenyaland, ata gari lako likipoteza headlights usiku wa manane.. hio sio issue huku, uko rest assured kufika hadi kwako mlangoni kwenye getikali

High-Mast-Lighting-Pole.jpg
Screenshot_20220710-030634_Google.jpg
Screenshot_20220710-030559_Google.jpg
enap-photo-61795b02bcd20.JPG
 
Back
Top Bottom