Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Huyu jamaa (Mkenya) anasema wazi kabisa kuwa kenya ni nchi maskini huwezi linganisha na Tanzania👇👇
 

Attachments

  • S20709-102337(1).jpg
    S20709-102337(1).jpg
    85.7 KB · Views: 11
Numbers don't lie. Our electricity access is 75%, the highest in the region


But it's disappointing to see that Uganda has one of the lowest electricity access rates in the continent despite the fact that they have surplus electricity. The funny thing is that they are actually selling part of that surplus to Kenya!
Leta recent data acha kujifurahisha na outdated data.
 
Hahaha sijui huwa tunafanya upuuzi wa kulinganisha Nairobi na Slum ya South kwa nini? WHO imeanzisha ujenzi wa African region logistics headquarters hapa Nairobi. Sitaki kisikia mtu akilinganisha Nairobi na mji uliojichokea wa South.


Dr. TEDROS director general wa WHO yupo Kenya kuzindua ujenzi wa WHO African logistics centre ambayo itajengwa ndani ya Kenyatta university.

Hahaha sijui huwa tunafanya upuuzi wa kulinganisha Nairobi na Slum ya South kwa nini? WHO imeanzisha ujenzi wa African region logistics headquarters hapa Nairobi. Sitaki kisikia mtu akilinganisha Nairobi na mji uliojichokea wa South.


Dr. TEDROS director general wa WHO yupo Kenya kuzindua ujenzi wa WHO African logistics centre ambayo itajengwa ndani ya Kenyatta university.

Muuguzi humfata mgonjwa....sasa wewe unategemea wafungue branch zao wapi? Na wakati huo ukanda wa horn of Africa particular kenya ndio inaongoza kuwa na magonjwa mengi inayosababishwa na lishe duni
 
Muuguzi humfata mgonjwa....sasa wewe unategemea wafungue branch zao wapi? Na wakati huo ukanda wa horn of Africa particular kenya ndio inaongoza kuwa na magonjwa mengi inayosababishwa na lishe duni
Propaganda boy wa wivu na chuki wewe haunanga hoja
 
Muuguzi humfata mgonjwa....sasa wewe unategemea wafungue branch zao wapi? Na wakati huo ukanda wa horn of Africa particular kenya ndio inaongoza kuwa na magonjwa mengi inayosababishwa na lishe duni
Hata Moderna wanajenga vaccine manufacturing plant in Nairobi. Mbona hawakuamua kuijenga Dar is a big slum?
 
Message ya Mkubwa wa WHO

Serikali ya Kenya imetoa mchango wa $5 million kwa ajili ya kusaidia WHO kujenga hii African logistics hub. GoK pia imetoa shamba ya ekari 30 ndani ya Kenyatta university kwa ajili ya kujenga hii logistics hub. Wakati wa Covid-19 vaccine za Africa zilikuwa zinatolewa Dubai. Sasa angalau madawa ya WHO yatakuwa stored in Nairobi.
 
Back
Top Bottom