Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kama huelewi ngoja nikuache. Wewe nakuambia abandoned plot, unaongelea vichaka. By the way, do you know what are abandoned plots!!?
Why are they abandoned? Si kila siku hapa mnajigba vile Dar ni kubwa mara tatu kwa Nairobi? Kumbe na majigambo hayo yote ni mashamba za mihogo tu!!
 
Huyu wakili amelipwa ksh 1.3 billion na serikali ya Nairobi county? Aiseeh hii ni noma. Hio ni around $11 million. Lazima Kuna mambo nyuma ya pazia.



Nairobi county wamepora ardhi ya jeshi nini?
 
Sekou Toure mother and child wing
FVHrF5uWIAA34Pt
 
sasa mlikuwa mnawauwa Wamaasai halafu hamtaki tuongee? Eti tukae kimya wakati mnafanya maovu?
Halafu hao ni wanawake au wanaume? Kwanza huyo anayeitwa Clara Luvanga ni mwanaume kamili. Akachunguzwe. Atakuwa ana pumbu mbili katikati ya miguu.
Hata wewe ni shoga ila ni mwanaume

Sent using Jamii Forums mobile app
 
You spewed rubbish here.

Public transport such as BRT, metro trains is the way to go for big modern cities. Advantages are many such as low cost, efficient, spends less time commuting to and from work and lastly ni environmentally friendly.

Both Tanzanian SGR and MGR have port links.
Let's picha za port link ya Tanzania SGR + marshalling yard
 
Huyu wakili amelipwa ksh 1.3 billion na serikali ya Nairobi county? Aiseeh hii ni noma. Hio ni around $11 million. Lazima Kuna mambo nyuma ya pazia.



Sasa, hii si serikali vs serikali walipane kupitia budget hata ya mwakan.. nilivyosoma hio title ya first tweet nilijua ni serikali vs foreign investors.. anyway, mambo ya sheria sijui..
Afu nimesomasoma comments naona #azimio.. labda ni kupeleka hela kiujanja azimio kusaidia kampeni afu yey atapata 10%
 
Acha ujinga wewe wenzako wanakuona kiazi kweli zilisha wekwa humu ndani kitambo tuu.
Ujinga ni kuitisha picha za SGR link to port za Tanzania? Wewe ni mtanzania low IQ na mjinga sana. Stupid maggot
JamiiForums-264036466.png
 
Sasa, hii si serikali vs serikali walipane kupitia budget hata ya mwakan.. nilivyosoma hio title ya first tweet nilijua ni serikali vs foreign investors.. anyway, mambo ya sheria sijui..
Afu nimesomasoma comments naona #azimio.. labda ni kupeleka hela kiujanja azimio kusaidia kampeni afu yey atapata 10%
La hasha, hio pesa yote ni yake. Kwa mambo ya uwakili, Hapa Kenya kisheria wakili anastahili kulipwa 2.5% ya value ya pesa anayopigania kortini. Huyu Mwamba alikuwa anapigania kesi yenye shamba ya value ya ksh 61 billion. Sasa 2.5% ya value ya hio shamba ndio hio ksh 1.3 billion aliyolipwa. Wacha akule jasho yake. Japo haijawahi kutokea katika historia ya Kenya wakili kukuwa billionaire kwa pesa za Kenya (dollar multi-millionaire) kupitia kesi moja tu.
 
Back
Top Bottom