Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mawazo ya kimasikini hayo, matajiri huwa wanaangalia kiasi wanachobakiza baada ya mapato na matumizi.

Kama unapata $1000 halafu unatumia $900 na mwengine anapata $500 na kutumia $200 mwisho wa siku nani tajiri?
Wacha kujifanya philosopher hapa ju hujaona tanzania hapo, hakuna mtu anaweza furahia kulipwa mshahara kidogo wengine wakilipwa mingi, money is never enough.
 
Dodoma kwa sasa hakuna foleni kama ya Nbo,izo infra zinajengwa kulingana na uhitaji sio fashion
Naona wakenya wamekufunza kufikiria sio kuhemka kama wadanganyika wenzako.
Dar-is-a-slum haina magari ndio maana hakuna expressway
 
Ile reli ya Tanzania haijakua fenced in most parts unlike ya kenya na intermediate stations za tz sgr ni kama choo za kanjo [emoji3]
Masharobaro watangoa machuma ya hiyo sgr. Alafu wanaagiz treni second hand so nimtumba tu
 
KENOL-MARUA A2 DUAL CARRIAGE (84KM)
FmBYJT3h.jpg
downloadfile-2.jpg
Screenshot_20220705-203135.jpg
 
Huko sio kwetu lakini bado ni Kenya. Ni huzuni kuona wanapitia masaibu haya. Nimesema hapa mara nyingi kwamba serikali inastahili kuchimba boreholes kila mahali huko Northern Kenya ili kupunguza athari ya ukame. Kenya ni miongoni mwa nchi ambayo imeendelea sana ukiilinganisha na nchi zingine za Sub saharan Africa lakini kwenye mambo haya ya kuwashughulikia wafugaji wa Northern Kenya huwa tumezembea sana. Huwa nashindwa kwa nini kuna njaa Northern Kenya and yet serikali ya Kenya ina uwezo mkubwa sana wa kifedha kushinda serikali yoyote ukanda huu. KRA ina target ya kukusanya around $20 billion this financial year. Sasa sio kwamba Kenya haina pesa, pengine priorities ndio zipo wrong. Ujue hii njaa inatupea bad press, inafanya watu duniani wafikirie Kenya ni nchi masikini kupindukia na kumbe ni serikali haijali. Pengine rais ajaye atasaidia.
Well put, pia county government za hizo maeneo are to blame. Low absorbtion of budget money. Kuna time Turkana county walirudisha 500 million kwa treasury as unused cash, which was govt allocation. They should plan for draught. You remember Kenya for Kenyans fund drive to help Turkana vile Kenyans send in cash kwa mpigo in support of Turkana?, then some time later, Turkana county govt returns 500m! I sware niliboeka nao mbaya!, useless leaders who lack foresight ju pesa sio issue. Maji iko kwa ground mingi sana, it's just sinking and developing boreholes to pipe water across.
 
Yani Tanzania has one hospital that provides nearly all the important health services in a country of 60m people! Enyewe devolution imetusaudia sana sisi wakenya and whoever said health should be devolved deserves a medal 🏅
Raila Amolo Odinga it is.., unfortunately am not sure of him winning, Ruto ni moto!.,
 
Back
Top Bottom