..........
Geza Ulole. wewe ni mtu wa kushangaza sana..
hivi hapo mwanzoni, nilikuona kama wee ni mtu shupav anaye aminika.. mtu anaye simama na ukweli, pasipo kua na mapendeleo ama ubaguzi kati ya kenya ama tz.
mfano mzuri humu ni
Tony na
tuusan na pia kwa kiasi
7seven. ila wewe ni mzee bwege aliye join jf in 2004.!
watu wa hadhi zako ni watu wanao heshimika sana kwenye society, na pia ndo wanao patia ushauri ama advice kwa vijana au kizazi kijacho, ila ww ni tofaut sana na cohorts zako.........
hivi kwako unaona vizuri sana kua Render na what's on the ground is exactly the same.! lakini bado mzee mkongwe wa hadhi zako, atapata energy, ya ku oppose kitu ambacho kiko wazi kabisa! ata kipofu anaweza kuuona
render👇🏽
View attachment 2278674
endgame👇🏽
View attachment 2278675